Tetesi: Wakulima Tandahimba kuandamana kupongeza kurudishiwa korosho zao

sioni tatizo kabisa kama wauzaji wanaelewa kuwa walikuwa wamewashikisha wajeda korosho ambazo hazina ubora swali ni kuwa kama hizo korosho hazina ubora wanarudishiwa wazipeleke wapi
 
... kama hii habari ni ya kweli then automatically itakuwa imekuwa proved, beyond reasonable doubts, kwamba eneo/ukanda huu wa dunia ndilo eneo lenye binadamu wajinga kuliko eneo lingine lolote duniani.

Scientific researches have to be conducted to prove the reasons for that behavior; is it a genetic issue? harmful materials (in the land? air? waters? grains? foods?); or what?
Mzee baba kwani hujaona ile tafiti flani inasema"asilimia 85 ya Watanzania IQ zetu ni below Avarage". Hawa ndo wana prove na nahisi sample space ilikua huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasisi watumishi wa umma tunaomba kuandamana kumpongeza kwa kutokupanda madaraja miaka sita sasa wakati ilitakiwa tupande kila baada ya miaka mitatu. Kwakweli huyu ni kiongozi anayedhubutu na hata mshahara hakuna kupanda, binafsi mwisho kupanda ilikuwa 2010 miaka Tisa nasotea daraja moja. Hapa kazi tuu malipo mbinguni
 
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.
Nyie Chinga vipi tena? Siku serikali ikichukua tena korosho kwa ahadi hewa, mtaandamana kuipongeza au vipi?
 
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.
haya maajabu
 
Back
Top Bottom