Tetesi: Wakulima Tandahimba kuandamana kupongeza kurudishiwa korosho zao

... kama hii habari ni ya kweli then automatically itakuwa imekuwa proved, beyond reasonable doubts, kwamba eneo/ukanda huu wa dunia ndilo eneo lenye binadamu wajinga kuliko eneo lingine lolote duniani.

Scientific researches have to be conducted to prove the reasons for that behavior; is it a genetic issue? harmful materials (in the land? air? waters? grains? foods?); or what?
May be land allienation.
 
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.
Kwa hiyo baada ya kurudishiwa korosho zao wataruhusiwa kuwauzia "kangomba" au serikali imewaandalia mpango mwingine wa mauzo ya korosho hizo?
 
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.
Ha haaaaaaaa hahaaaaa

Intelejensia itawakataa kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingelikuwa nchi za mabeberu ndio hili limetokea sasa hivi ungesikia mahakamani imefunguliwa kesi ya mkataba

Wakulima wa korosho v Serikari ya mabeberu (2019)

Mkataba sio lazima kuandikishiana unapotoa kauli hadharani watu wakaitikia wito wa kauli yako na mkabadlishana vitu vyenye thamani huo tayari mkataba unaotambulika kisheria.

Ikitokea baadae tena uwezi kuwalipa kama ulivyoahidi adharani that is just 'material breach' mahakama itakulazimisha ulipe tu; ndio kilichotakiwa kitokee kusudi siku nyingine usikurupuke na kujiropokea but then this is Tanzania wanasheria sio wajasiriamali wenzetu sasa hivi mtu angeichukua hii kesi bila ya mallipo hila 5% yake wakishinda .Sasa ukipata 5% ya wakulima wa korosho si unaweza retire kabisa na kazi yenyewe kwa amani.
Tatizo kuhu hata mawakili wanakufa njaa wakati kuna kesi kibao za kununua na ushindi 100% unaonekana. I wish ningekuwa mwanasheria au wakili. Ningenunu kesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.
Du, hii imekaa vizuri sana.Chakubanga ndiye atapokea maandamano yao hapa anachukua zoezi la kupokea maandamano.


View attachment Polepole Dance Moves.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha haa upumbafuu unawezekana udàñganyikani tu
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
149738.jpeg
 
Umeandika vizur Subira the princess nadhani katika hilo serikali haitawazuia. Nao nmefurahi jinsi ambavyo wanaonesha kuwa sambamba na serikali yao.

Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na kitendo hicho kunatetesi kwamba wakulima hao wamepanga kuandamana kuunga mkono juhudi, pia kushukuru kwa kurudishiwa korosho ambazo hazina ubora.

Ikumbukwe wakati korosho hizi zinakusanywa wakulima hawa waliandamana kuunga mkono juhudi za rais kuwaondolea umasikini kwa kununua korosho hizo kwa bei nzuri , hivyo wanaomba na safari hii waruhusiwe kuandamana km ilivyokua awali kushukuru kwa mzigo kurudi maana wengi wao walijua wameshadhulumiwa mzigo baada ya kusubiri malipo kwa takribani miezi3.
 
Back
Top Bottom