hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
Idd Mubaarak
Waungwana sina mamlaka ya kusema ila nitumie kuwadokeza tu ni kwamba hali si nzuri huko Nanjilinji kuna ugomvi kati ya wafugaji (wasukuma) na wakulima. Hali hiyo imepelekea kutoana uhai na hivi sasa tayari gari za vijana wa kazi (polisi-ffu) zimejaa huko kwajili ya usalama!
Waungwana sina mamlaka ya kusema ila nitumie kuwadokeza tu ni kwamba hali si nzuri huko Nanjilinji kuna ugomvi kati ya wafugaji (wasukuma) na wakulima. Hali hiyo imepelekea kutoana uhai na hivi sasa tayari gari za vijana wa kazi (polisi-ffu) zimejaa huko kwajili ya usalama!