Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 2,200
- 4,451
Sitashangaa US akifika finalSafari yao imefika mwisho sioni namna watakavyosalimika.
Sitashangaa US akifika finalSafari yao imefika mwisho sioni namna watakavyosalimika.
Haina mbambamba ongezea Brazil hapo nakuambia kwa kujiamini kabisaArgentina hatua ya 16 Bora itamuwia ngumu mno kwakuwa hadi hapa walipofika ni kwa bahati bahati tu!
Spain yupo na mkusini wake Morocco, siku ambayo watu watazikimbia mikeka yao hapa.
Sina kipaji cha kumuelezea mtu aelewe maono yetu tuliyojaliwa kuyaangalia mambo kwa nguvu ya ziada!
Nitafufua kauzi haka mmoja akitolewa.
Britanicca
Aisee US atapita ila kwa mbindeAustrali vs Argentine >Argentine anapita
England vs SENEGAL >Senegal anapita
Poland vs France >france
USA vs Netherland >USA out
Nikukojolee wapiKakojoe ulaleee
Mkuu ni Brazil hii hii iliyofungwa na Cameroon ndiyo iwe bingwa au kuna nyingine?Na bila shaka atacheza hiyo fainali na Brazil. Mwisho wa mchezo, kama kawaida; Brazil atachukua ubingwa.
USA. hana jipya na hakuwahi kuwa na jipya.Aisee US atapita ila kwa mbinde
Taratibu tutaelewana tu.Nether ni finalist mtarajiwa chukua hii.
Final ya basketball labda.Sitashangaa US akifika final
Eti kuna watu waliiona USA bonge la timu.USA. hana jipya na hakuwahi kuwa na jipya.
Walijizima data.Eti kuna watu waliiona USA bonge la timu.
Uzi umekaa kimbea zaidiArgentina hatua ya 16 Bora itamuwia ngumu mno kwakuwa hadi hapa walipofika ni kwa bahati bahati tu!
Spain yupo na mkusini wake Morocco, siku ambayo watu watazikimbia mikeka yao hapa.
Sina kipaji cha kumuelezea mtu aelewe maono yetu tuliyojaliwa kuyaangalia mambo kwa nguvu ya ziada!
Nitafufua kauzi haka mmoja akitolewa.
Britanicca
Biskuti zenye bangi huenda zimesambaa sana mitaani kuliko tunavoambiwa na mamlakaArgentina hatua ya 16 Bora itamuwia ngumu mno kwakuwa hadi hapa walipofika ni kwa bahati bahati tu!
Bye byeSitashangaa US akifika final
Tumetoka kiume, all the best lakini nafikiri Brazil all the wayBye bye