Wakubwa Shikamoo! Mimi kijana wenu nahitaji ushauri wenu kwa hili

Mimi ni kijana mdogo tu nipo chuo Dar es salaam nmemaliza certificate saivi naingia diploma one. Kiukweli kitu nachokisomea nasomea tu kwa sababu nmekifaulia kwenye masomo yangu ya kidato cha nne na ni kitu nilichokifatilia nikakielewa nikabidi nikisome lakini ninapenda sana na ninajua kuchezea mambo ya computers na simu hizi mara nyingi zikipata matatizo mtaani kwetu ata kila sehemu nitayoenda kuishi, mimi ndio huwa nakuwa

TUKO PAMOJA SANA MKUU.
 
Back
Top Bottom