Wakubwa mliotutangulia tufundisheni mbinu mlizopitia katika elimu Hadi mkafika hapo mlipo

Saint Anne

JF-Expert Member
Aug 19, 2018
73,628
225,245
Habari
Ashukuriwe Mungu kwa kutupa uzima

Binafsi napenda kusoma na kujifunza mambo mbalimbali kutoka kwa walionitangulia ,wenye uzoefu na wengine wote

Katika elimu tunakutana na changamoto nyingi
Elimu ya sekondari changamoto kubwa ilikua fimbo nyingi shule,,Hadi unahisi ubongo unasogea usoni

Chuo kikuu Kuna karaha mbalimbali pia,japo si Mara zote
Kuna baadhi ya walimu Wana Nia nzuri na weledi mkubwa katika kufundisha na kuhakikisha mwanafunzi anafaulu

Hawa wengine Ni Kama mwiba ,yeye anafanya juu chini kukuingiza kwenye nyavu yaani September conference

Mliopita huku Ni mbinu gani mlizitumia ,,???mliwezaje!?
tujuzeni wadogo zenu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kpindi naanza first year nlkuwa na wenge Sana inshort sikuwa na aidea yeyote kuhusu chuo kwanza lecture nlkuwa simuelew nlkuwa nasinzia tu venue sikujua utaratibu na mbinu za kusoma chuo. Nlkuwa nawaza hivi ntavuka mwaka kweli? Sitadisco kweli? Na ukicheki chuo chenyewe kina misulii sio poa wanafundisha balaa utasema secondary. Nkasikia kusap hichi chuo ni kawaida kwanza ni kama kikombe cha chai kila mtu lazma akipitie nkawa najisemea mwenyewe naweza iepuka sap kweli? .although kuna watu toka waje hawakupata lazma watakuwepo wamewezaje? .mi ratiba imebana sio poa hivi hapa natumia mbinu gan ktk usomaji wangu? daah kuna mda nikikaa nkawa nafkria hvyo nlkosa aman kabisa baaada ya kufanya test ya Kwanzaa mtazamo na maono yalibadilika mtoa mada unataka mbinu..? Mbinu ni Kama ifuatavyo... Hakuna mbinu mbinu ni wewe mwenyewe kila mtu na usomaj wake na ratiba zake japo kuna baadhi ya vitu ni general kwa wote watakuja kukwambia wenzangu lakin binadamu tumetofautiana kwa kiasi kikubwa Kama uliweza pita advance au diploma huku ukitumia mbinu zako zikichukua asilimia nyingi huko juu utaweza tu you will figure it out trust me. We mwenyewe automatically utajua unapambanaje hivi wewe umekuwa nani usipate changamoto .nakutakia masomo mema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kpindi naanza first year nlkuwa na wenge Sana inshort sikuwa na aidea yeyote kuhusu chuo kwanza lecture nlkuwa simuelew nlkuwa nasinzia tu venue sikujua utaratibu na mbinu za kusoma chuo. Nlkuwa nawaza hivi ntavuka mwaka kweli? Sitadisco kweli? Na ukicheki chuo chenyewe kina misulii sio poa wanafundisha balaa utasema secondary. Nkasikia kusap hichi chuo ni kawaida kwanza ni kama kikombe cha chai kila mtu lazma akipitie nkawa najisemea mwenyewe naweza iepuka sap kweli? .although kuna watu toka waje hawakupata lazma watakuwepo wamewezaje? .mi ratiba imebana sio poa hivi hapa natumia mbinu gan ktk usomaji wangu? daah kuna mda nikikaa nkawa nafkria hvyo nlkosa aman kabisa baaada ya kufanya test ya Kwanzaa mtazamo na maono yalibadilika mtoa mada unataka mbinu..? Mbinu ni Kama ifuatavyo... Hakuna mbinu mbinu ni wewe mwenyewe kila mtu na usomaj wake na ratiba zake japo kuna baadhi ya vitu ni general kwa wote watakuja kukwambia wenzangu lakin binadamu tumetofautiana kwa kiasi kikubwa Kama uliweza pita advance au diploma huku ukitumia mbinu zako zikichukua asilimia nyingi huko juu utaweza tu you will figure it out trust me. We mwenyewe automatically utajua unapambanaje hivi wewe umekuwa nani usipate changamoto .nakutakia masomo mema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wonderfully....ushauri mzuri nmesoma nkafurahi
Thanks&be blessed much

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tuna kituo cha mitihani kwa watahiniwa wa kujitegemea na Q.T. Vile vile pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa chuo cha msingi ni kujitambua
Habari
Ashukuriwe Mungu kwa kutupa uzima

Binafsi napenda kusoma na kujifunza mambo mbalimbali kutoka kwa walionitangulia ,wenye uzoefu na wengine wote

Katika elimu tunakutana na changamoto nyingi
Elimu ya sekondari changamoto kubwa ilikua fimbo nyingi shule,,Hadi unahisi ubongo unasogea usoni

Chuo kikuu Kuna karaha mbalimbali pia,japo si Mara zote
Kuna baadhi ya walimu Wana Nia nzuri na weledi mkubwa katika kufundisha na kuhakikisha mwanafunzi anafaulu

Hawa wengine Ni Kama mwiba ,yeye anafanya juu chini kukuingiza kwenye nyavu yaani September conference

Mliopita huku Ni mbinu gani mlizitumia ,,???mliwezaje!?
tujuzeni wadogo zenu


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa kuwa mpaka unafanya Masters wewe unajifunza jinsi ya kusoma, kusoma kwenyewe ni pale unapoandika thesis yako kwani huko nyuma wewe unalishwa fikra za watu wengine lakini ukifanya PhD huwa unatumia ujuzi wako uliyoufanyia research.
Na kuna tofauti kati ya kusoma na kuelimika, mwenye kutumia elimu yake huyo ameelimika lakini aliyesoma halafu haitumii elimu yake huyo ni msomi tu kama aliyesoma gazeti.
 
Elewa kuwa mpaka unafanya Masters wewe unajifunza jinsi ya kusoma, kusoma kwenyewe ni pale unapoandika thesis yako kwani huko nyuma wewe unalishwa fikra za watu wengine lakini ukifanya PhD huwa unatumia ujuzi wako uliyoufanyia research.
Na kuna tofauti kati ya kusoma na kuelimika, mwenye kutumia elimu yake huyo ameelimika lakini aliyesoma halafu haitumii elimu yake huyo ni msomi tu kama aliyesoma gazeti.
Akhsante kwa mchango
Maneno yako imebidi nirudie kusoma Mara nyinginyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom