Tunangoja waraka wa pamoja toka kwa viongozi wa dini unaoelekeza nani chaguo la mungu uchaguzi huu ili tumpe kura zetu !!!
Maana uchaguzi wa 2005 walituambia jk ndo chaguo la mungu!! Sasa labda maombi hayo yataandamana na kuteremka roho mtakatifu toka mbinguni atakae leta ujumbe toka kwa mungu kuhusu mgombea yupi ambae amechaguliwa mwaka huu huko mbinguni ili sisi wapiga kura siku hiyo ya uchaguzi tuende kutimiza tu wajibu lakini rais wetu yeye tayari ameshachaguliwa toka huko mbinguni!!!
Natanguliza salamu za upendo, amani na mshikamano!!!!