Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,541
5,536
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya uislam na waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini oubwa zaidi, baadhi wanachuki na waislam kabisa.
Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya kaskazini au nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya pwani au yene mchanganyiko mkubwa na waislam hawana shida kabisa.
Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
 
Kijijin kwetu huku usukuman ukisema kuwa wewe ni mwisilam watakushangaa sana na mara zote watajua kuwa wewe ni mchawi au mganga wa kienyeji

Huku kwetu hakuna waislam kabisa waislam mimi nimekuja kuwakuta huku mjini
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam...
Kadhalika waislam waliotokea maneno ambayo waislam ni majority na mifumo Yao ya kitamaduni imemezwa na tamaduni za kiislam, Wana uelewa duni sana,finyu na potofu kuhusu wakristu na ukristu
 
ukweli mchungu kwa hapa Tanzania uislamu ndio umewafelisha makabila ya mjini

kama wazaramo, wandengereko wasingekuwa waislamu leo hii wangekuwa hawashikiki kwa maendeleo.

ardhi yote ya dar es salaam ni mali ya babu zao. uhuru umepiganiwa mitaani kwao.

ila sababu uislamu uluwafanya wakomae na madrassa kukariri quran na kuachana na shule za formal education. wakaishia kuwa wajinga na kukosa fursa nyingi sana huku quran haijawapa fursa nyingi
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

RAHA ZA PPN.png
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam...
Hao wanawaoneshea kile wamekibeba wakristo mnaoish nao, waislam ni jamii ngumu kuish nayo waislam ni kama mtoto wa mwisho , anajiona anastahili Kila kitu ila wengine hawastahili hata kdg , na ndio maana UKITAKA ish kama waislam bas mtauana tu , mawaidha ya Kiislam yamekaa kichochez sana
 
Back
Top Bottom