Jesus Christ was born in islael , yet the Jews don't know him. Think about it. It is like people saying that you have a son while in actual fact you don't have but they are shouting and rejoysing that your son is handsome.Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Mleta mada unaweza kukuta ni Mwanaume na ndevu zake na siku aliyozaliwa wazazi wake walifanya sherehe kwa kupata mtoto wa kiume!
Aaagh hutakuwa wa kwanza..wenzako kila siku wanalalamikaNa waislam baraza la mawazili wapo wawili tu vp vp tusambaze chuki na sisi
Jew gani hamjui yesu??Jirani yako au?Jesus Christ was born in islael , yet the Jews don't know him. Think about it. It is like people saying that you have a son while in actual fact you don't have but they are shouting and rejoysing that your son is handsome.
Daudi this has nothing to do with his/her age. It has everything to do with his/her hatred against Islam
Jews from islael hawamjui kabisa na ndo maana hakuna myahudi mkristo Wana dini zao. Nawashangaa wakristo mnaowatetea mayahudi wakati hata ukristo wenyewe hawajui na hawaamini kma yesu alizaliwa kwaoJew gani hamjui yesu??Jirani yako au?
wewe ni Jew??Haya umeyajulia wapi?Ulishawahi hata kufika Israel?(PS:Mimi tayari)Jews from islael hawamjui kabisa na ndo maana hakuna myahudi mkristo Wana dini zao. Nawashangaa wakristo mnaowatetea mayahudi wakati hata ukristo wenyewe hawajui na hawaamini kma yesu alizaliwa kwao
Mpaka sasa Niko hapa Jerusalem.wewe ni Jew??Haya umeyajulia wapi?Ulishawahi hata kufika Israel?(PS:Mimi tayari)
Basi sawaMpaka sasa Niko hapa Jerusalem.
So to say that Jesus was born there, it is a fixation..Basi sawa
Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma
Tutafutie king'amuzi mbadala cha kuwaangali mikia ndio uje na hoja zako za kifala fala.Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.