GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Nlikuwa na jamaa yangu mmoja ambaye ni dini ya kikristo tukizungumzia mambo mbalmbal ya kijamii na kisiasa
Moja ya mambo ambayo tulizungumzia ni kuhusiana na huyu anayejiiya. Nabii TITO.
Ni wazi kuwa huyu bwana either kiakili hayupo vizuri kichwani ama ameamua kutoka kwa style hiyo katika harakati za kutafuta umaarufu.
Nlimwambia jamaa yangu "ninyi wakristo ni watu ambao mnakuwa laiser fair sana, mtu anatumia Biblia yenu kuwatukanisha na hamjamfunza adabu?"
Jamaa alinijibu kwa upole sana huku akitabasamu " ukristo haupambani na mtu, vita vya wakristo si damu na nyama...ila nguvu inayomfanya mtu awe na uovu,the spirit.so hatuwezi mdhuru mwili wake sisi tunapambana na roho inayomfanya awe hivyo"
Kiukwel sikuridhika. Huyu nabii tito anapaswa akamatwe achapwe bakora sana. Maana ni wazi ameamua ku promote ushoga akijifanya anaupinga kuwa sasa hashiriki tena.
Mhuni Tito anapaswa aangaliwe na serikali.michezo anayofanya na promotion si vya kawaida.je watoto wetu wanajifunza nini? Je waandishi wa habari hawaoni kuwa jamaa hana maudhui sahihi hivyo wangempuuza?
Serikali inataka watoto wajifunze nini toka kwa huyu mgonjwa wazimu? Nashindwa walaumu waandishi wa habari sababu asilimia 80 ya waandishi wa habar hawana elimu au niseme wana upeo mdogo sana wa kuchuja mambo.
Hawaoni athari ya airtime wanayompa huyu bwana kwenye social media mbalimbali.lakini kiuhalisia hakupaswa kabisa kuachwa afanye upotoshaji anaoufanya kwa kisingizio chochote.
Nafaham katika ukristo Ushoga/Ufiraji umepigwa marufuku kwa herufi kubwa pasipo kuuma uma maneno. Sasa huyu jamaa shoga anayejiita nabii...anatumia Biblia kwa nini msimchape bakora? Madhara na sumu anayosambaza ni kali sana...inaua polepole.
Moja ya mambo ambayo tulizungumzia ni kuhusiana na huyu anayejiiya. Nabii TITO.
Ni wazi kuwa huyu bwana either kiakili hayupo vizuri kichwani ama ameamua kutoka kwa style hiyo katika harakati za kutafuta umaarufu.
Nlimwambia jamaa yangu "ninyi wakristo ni watu ambao mnakuwa laiser fair sana, mtu anatumia Biblia yenu kuwatukanisha na hamjamfunza adabu?"
Jamaa alinijibu kwa upole sana huku akitabasamu " ukristo haupambani na mtu, vita vya wakristo si damu na nyama...ila nguvu inayomfanya mtu awe na uovu,the spirit.so hatuwezi mdhuru mwili wake sisi tunapambana na roho inayomfanya awe hivyo"
Kiukwel sikuridhika. Huyu nabii tito anapaswa akamatwe achapwe bakora sana. Maana ni wazi ameamua ku promote ushoga akijifanya anaupinga kuwa sasa hashiriki tena.
Mhuni Tito anapaswa aangaliwe na serikali.michezo anayofanya na promotion si vya kawaida.je watoto wetu wanajifunza nini? Je waandishi wa habari hawaoni kuwa jamaa hana maudhui sahihi hivyo wangempuuza?
Serikali inataka watoto wajifunze nini toka kwa huyu mgonjwa wazimu? Nashindwa walaumu waandishi wa habari sababu asilimia 80 ya waandishi wa habar hawana elimu au niseme wana upeo mdogo sana wa kuchuja mambo.
Hawaoni athari ya airtime wanayompa huyu bwana kwenye social media mbalimbali.lakini kiuhalisia hakupaswa kabisa kuachwa afanye upotoshaji anaoufanya kwa kisingizio chochote.
Nafaham katika ukristo Ushoga/Ufiraji umepigwa marufuku kwa herufi kubwa pasipo kuuma uma maneno. Sasa huyu jamaa shoga anayejiita nabii...anatumia Biblia kwa nini msimchape bakora? Madhara na sumu anayosambaza ni kali sana...inaua polepole.