ChaMtuMavi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2008
- 330
- 8
Ukiwa na roho ya kinyama utaweza yatenda wayatendayo...
mkuu sim
ogopa mtu anaeamini majini na mapepo anaweza kukumaliza dk 1 ati.s.asa naona wakristo wenzangu wengi tumefungwa na mapepo ya uvumilivu sasa kila tunachofanyiwa tunajipa moyo mungu atawalipiza atawalipiza wapi ushaona mapepo yanalipizwa mwisho yanakumaliza ati watanzania amkeni jamani sisemi wote ila naaaminiw apo waislamu wanaolaani hii hali na wengine wakichekelea kama mh wetu mis narudia tena tusali tufunge tufunguliwe ufahamu tuliofungwa na mapepo tujue wapi tulipo na nini cha kufanya
unajua hata kwenye baibo wanasema adui yako na afe sasa tunajifanya kuwaombea hawa huku wanaturushia maruhani na kuchoma moto makanisa na mwisho wanatuchoma moto wallahi nawaambia oooh shauri zenu