Wakristo mjitafakari kwenye suala la mahari, mnawakosea sana binti zenu. Kilichotokea hivi karibuni kwa jamaa yangu kina funzo

Vijana wa siku hizi mnapenda kudeka sana yaani mahari ya milioni 3 unakuja kuanzisha uzi huku JF serious??
Wenzenu zamani unatoa ng'ombe kadhaa na unakaa ukweni hata mwaka mzima ukiwasaidia kazi zote ikiwemo kulima mashamba na kuchunga mifugo bila malipo yeyote.
Ushauri wangu kama huna hata pesa ya mahari nunua sex toys upunguze nyege zako.
Ndio maana vijana wengi ni Marioo (wanapenda kulelewa tu) kwa kuwa hata wake zao wamepewa bure.
Vijana kazeni matako kila kitu kinapatikana kwa jasho.
 
Nimekuuliza, ninakuuliza tena ulitaka kukuta kiwango cha mahari ndani ya biblia?.

Ukikonvet Denali mia 4 ya kipindi cha yesu kuja kwenye shiling, yuan, USd, Rand etc unapata kiasi gani?
Madini yaliyokuwa ysnatengeneza dinari moja thamani yake kwa leo ni dola sita hivyo.dola moja kwa hela za tanzani ni shilingi 2200 bei ya chini.Kwa dola sita ni sawa na shilingi za Tanzania 132 000.Kwa hiyo dinari moja kwa pesa za Tanzania ni shilingi 132,000

Sasa huyo.aliyelipa mahari dinari 400 chukua shilingi za Tanzania 132,000 zidisha kwa dinari 400 utapata jibu kuwa huyo aliyelipa mahari alilipa mahari shilingi 52,800,000

Vidume mnaopenda dezo mpooo???
 
Niambie unaweza kutoa posa bila kiongozi wa kanisa kuhusishwa harafu wachungaji au viongozi wa kanisa wakakuelewa, acha masihara ndugu,
Kama ni hivo basi mvulana na msichana wangekuwa wanaelewana tu harafu wanaenda kwa mchungaji awafungishe ndoa basi
Hizo.sio kazi za mchungaji
Yeye kazi yake kuwasubiri kanisani na kumaliza kama hakuna pingamizi likiwa halipo anafunga
 
Umekusudia kuutukana ukristo? Ona hoja zako mfu hapa ambazo zinaonyesha jinsi gani unaleta hadithi za kutunga zisizo na mashiko:

1. Rafiki yako single father watoto watatu. Mama wa watoto hao watatu yuko wapi?

2. Single mother mtoto mmoja, baba wa mtoto yuko wapi?

3. Walikuwa marafiki chuoni (wapenzi)? Wapi Ukristo unaruhusu uchafu huo?



4. Hilo suala la mahari ya waganda lina uhusiano gani na Ukristo? Ni wapi kuna maelekezo ya kudai kiwango fulani cha mahari? Hoja za kipuuzi kweli kweli.

5. Huyo muoaji alitakiwa kusikitikia bajeti yake, kwamba amevamia mila za watu bila mwongozo sahihi. Muache kukurupuka, mambo haya hufanywa kwa utaratibu.



6. Akasema alitegemea watasema.... Kwani mlikwenda kupeleka posa mpangiwe mahari au mlikwenda kuwaeleza kile mlichokuwa tayari kulipa? After all mahari ya MWANAMKE tena mwenye mtoto haiwezi kuwa hicho ulichosema, ni uongo dhahiri. Mengine tuwaachie waganda na mila zao, sasa Ukristo unaingiaje hapo ewe usiye ufahamu?



7. Nilitegemea utasema "WAKATI KATIKA UISLAMU KUTOMALIZA MAHARI NI HESHIMA KUBWA.... " Kumbe umejichanganya mwenyewe, unadai Tanzania ni heshima kutomaliza mahari, kwani Tanzania ni ya Waislamu na Uganda ni ya Wakristo? Una matatizo ya logic kwenye hoja zako.



8. Sasa huyo mtu wenu alikuwa muoaji kweli au ni mhuni tu? Pia ninyi wasindikizaji feki ni genge la malaya tu, eti mngeshangaa kama hana alternative!? You're fake!!

9. Ok, kwa akili yako ukaona ni wakati sahihi kutuingizia character wako muislamu kwenye utunzi wako. Eti kwao wanataka ndoa ya Kiislamu, hapa unamaanisha ndoa za Kiislamu hazina mahari?



10. Mwanamume aliye tayari kwa ndoa, amekwisha kujichagulia mchumba hawezi kamwe kubadili gia angani sekunde moja baadaye kutaka mwanamke mwingine. Hii ni dhahiri huyu hakuwa muoaji, ama utunzi umepwaya.



11. Form four, anaweza kuwa bikira. Kamaliza shule gani huyo? Huyu jamaa yako alidai anaye mchumba mwingine, alimposa lini? Kwa hiyo alikuwa na wanawake wawili akisubiri mwenye unafuu wa mahari? Baada ya kufeli kwa mwanamke wa kwanza akahamia kwa wa pili, huyu jamaa hakuwa na mpango wa kuoa licha ya sifa feki ulizommwagia. Genge la wahuni tu.



12. Mwanamke wa Kiganda ama wa kikristo aliyechanganyikiwa? Umeshutumu ukristo kwa mila za Kiganda?



12. Sasa hapo kwenye hitimisho la upuuzi huu unajazia "ukristo" wakati kwenye andiko lako umebainisha utofauti wa ndoa za Kiganda na za Kitanzania, hivi kichwa chako kinawaza sawa sawa? Hakuna hata sehemu moja umeonyesha uhusika wa viongozi wa kikristo kwenye mchakato wa mahari. Sasa ukristo ujifunze nini kwenye Uislamu?

13. Tofauti ya ndoa za kikristo na nyinginezo ni mchana na usiku. Kwa mfano ndoa nyinginezo (ikiwemo uislamu) ni mikataba ambayo yaweza kuvunjwa wakati wowote lakini ndoa za kikristo ni AGANO LA MAISHA. Hili huvunjika pale tu upande mmoja unapokufa.

14. Mahari ni utamaduni wa kibiblia ambao huashiria nia njema ya muoaji. Pia ni shukrani kwa mzazi kwa malezi bora kwa binti yake. Maandiko hayaweki kiwango cha mahari stahiki, hilo limeachwa kwa jamii husika. Kuutuhumu ukristo kisa mlishindwa kulipa mahari ya Kiganda ni upotofu wa fikra. Yakobo alitumika miaka 14 ili kumpata mkewe aliyempenda sana, sasa huyo jamaa yako safari moja tu ya Uganda imeanzisha mada 'JF. Badala ya kurudi na kupanga hoja ili mwishowe ampate yule ampendaye eti akaona aoe muislamu! Kizazi cha hovyo kweli kweli.



15. Ukusudia wanawake wengi wasio na ndoa duniani ni Wakristo? Kwa utafiti upi? Huu nao ni upuuzi mkubwa. Unataka kumaanisha hata wanaume wa kikristo hupendelea kuoa wanawake wa Kiislamu? Hello, jaribu tena. Wewe si mtunzi mzuri.



Kama hujaoa nakushauri usithubutu kwani hujajua ndoa ni nini. Huo ushauri wako ni wa kijinga kabisa, kama sababu za binti kukubali kuolewa ndio hizi, basi hakuna haja ya kuolewa!! Mtu anayekuja akiwa na 'option' mbili au tatu sio mwoaji, ni malaya kama malaya wengine tu. Tofauti ni kwamba huyu ameamua kuhalalisha umalaya wake kwa kumweka ndani binti wa watu huku moyo wake ukitangatanga hovyo.



Mwanamume anapohangaika kumpata mke ni dalili ya upendo kwake na mara nyingi ndoa za aina hiyo hudumu. Kwa familia yenye maadili kuoa sio hisani kwamba unaisaidia familia. Wewe na huyo jamaa yako bado mna safari ndefu ya kujifunza maana na maisha ya ndoa. Pole sana.
Umejibu hoja kwa pointi nzito za uhakika zizosheheni weledi mkubwa uliotukuka wa great thinker
 
Kwamba jamaa yako kabadilishwa dini na mbususu tena ya form four aiseee na unakuja kujisifia hapa. Si angebadili tu tangu mwanzo kuliko kutaka kujibebesha mganda asiyemuweza.
Aise nmecheka sana ...anajisifiiiiia mwenyew ...lkn possibly hakuwq amedhamiria kumuoa mganda ila alitaka mlezi na muangalizi wa wanae ..umechuja na kuona ni wife material utamuachia hivi hivi nope..kwa jinsi alivompata cheap ndivo kuachana kunakuwa cheap vile vile
 
Madini yaliyokuwa ysnatengeneza dinari moja thamani yake kwa leo ni dola sita hivyo.dola moja kwa hela za tanzani ni shilingi 2200 bei ya chini.Kwa dola sita ni sawa na shilingi za Tanzania 132 000.Kwa hiyo dinari moja kwa pesa za Tanzania ni shilingi 132,000

Sasa huyo.aliyelipa mahari dinari 400 chukua shilingi za Tanzania 132,000 zidisha kwa dinari 400 utapata jibu kuwa huyo aliyelipa mahari alilipa mahari shilingi 52,800,000

Vidume mnaopenda dezo mpooo???
Vizuri. 52,8000,000 + shekeli 10 =52,810, 0000 then - shiling 52,8000,000(ambayo hupaswi kumpa mtu yoyote na si lazima uwe nayo ) = (inabaki) shekeli 10.
Hii shekeli 10 sawa na shilingi elfu 8 ndiyo pesa unapaswa kuwa muaji kwa ajili ya Bajaji, hayo mengine ni mbwembwe.
 
Moja ya vitu vinavyosingiziwa ukristo ni swala la mahari. Ukristo haupo specifically kuhusu insu ya mahari..ukristo ni mtu kumuacha Baba yake na Mama yake, swala mahari kiasi hiki ama kile ni tamaa za wakristo si ukristo.
SEMA.hii issue ya magari kubwa IPO ama haipo?
 
mkuu nikili kwamba ulicho ongea ni ukweli mtupu, mwaka 2017 nilitaka kuoa na nilikuwa na mahusiano na binti fulani hivi ambaye alitoka kijijini alipo fija mjini nikambrashi na mitoko,pamba hata pesa, maana nilikuwa na kijiajira, baada ya kwenda kuuliza mahari kwa tetesi tu bila ya mshenga nikaambiwa milioni 1.8.
Basi nikapotezea hapo binti kashanawili uno snura wana wakaanza mtamani mara wakapita naye me nikajiweka kando.
Mwaka jana nilitokea kumpenda mdada mwingine nikasema round hii siwekezi kwa binti basi kumudokezea muhusika swala la posa kuuliza wazazi walizi na sio wa kumzaa wakamwambia bila milion 2.3 asisubutu kusogea hapa tutamuaibisha, harafu demu fundi nguo tu, aisee ilinibidi ninyooshe mikono,
Ukweli wakristo batmdo tunashida ya tamaa inayotusumbua
Ukristo haujataja mahari buanaaa acha urongo suala la mahari ni la familia husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wa siku hizi mnapenda kudeka sana yaani mahari ya milioni 3 unakuja kuanzisha uzi huku JF serious??
Wenzenu zamani unatoa ng'ombe kadhaa na unakaa ukweni hata mwaka mzima ukiwasaidia kazi zote ikiwemo kulima mashamba na kuchunga mifugo bila malipo yeyote.
Ushauri wangu kama huna hata pesa ya mahari nunua sex toys upunguze nyege zako.
Ndio maana vijana wengi ni Marioo (wanapenda kulelewa tu) kwa kuwa hata wake zao wamepewa bure.
Vijana kazeni matako kila kitu kinapatikana kwa jasho.
Dah uchunge ng'ombe kwa baba mkwe kwa mwaka mzima kama Yusufu sio?
 
Yeah uislaam umeliweka jambo hili kuwa rahisi mnaoana mkishindwana mnaacha kila mtu na maisha yake
Ndio maisha.wewe unawaza Nini unaposikia mume kamuua mkewe?Wamelazimishwa kuishi wanauwana Hadi kuchomana na magunia ya mkaa.

Mimi nafikiri watu wakishindwana waachane kwa amani Kuna maisha mbeleni.
 
Tatizo ni mahari kuhusishwa na uwekezaji uliofanywa na wazazi kwa bint yao hapo ndio mwanzo wa kupaza bei.
Hivi usomeshe bint private up to university halafu washenga wanakuja kutaka kuoa kwa laki5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom