Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,659
- 12,282
Vijana wa siku hizi mnapenda kudeka sana yaani mahari ya milioni 3 unakuja kuanzisha uzi huku JF serious??
Wenzenu zamani unatoa ng'ombe kadhaa na unakaa ukweni hata mwaka mzima ukiwasaidia kazi zote ikiwemo kulima mashamba na kuchunga mifugo bila malipo yeyote.
Ushauri wangu kama huna hata pesa ya mahari nunua sex toys upunguze nyege zako.
Ndio maana vijana wengi ni Marioo (wanapenda kulelewa tu) kwa kuwa hata wake zao wamepewa bure.
Vijana kazeni matako kila kitu kinapatikana kwa jasho.
Wenzenu zamani unatoa ng'ombe kadhaa na unakaa ukweni hata mwaka mzima ukiwasaidia kazi zote ikiwemo kulima mashamba na kuchunga mifugo bila malipo yeyote.
Ushauri wangu kama huna hata pesa ya mahari nunua sex toys upunguze nyege zako.
Ndio maana vijana wengi ni Marioo (wanapenda kulelewa tu) kwa kuwa hata wake zao wamepewa bure.
Vijana kazeni matako kila kitu kinapatikana kwa jasho.