Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,466
- 3,515
Kanisa letu la kilokole, lililopo Mafinga, limefanikiwa kutoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa msikiti. Hatua hii inalenga kuwaepusha Waislamu na adha ya kusafiri umbali mrefu kwa ajili ya ibada, sambamba na kuimarisha upendo na amani miongoni mwa jamii. Kama mzee wa kanisa, nimepongeza juhudi hizi za kanisa letu.
Uwepo wa dini ya Kiislamu hapa Mafinga unatarajiwa kuchangia kuimarisha amani na upendo katika eneo letu, kwani dini ya Kiislamu ni dini ya haki na ukweli.
Uwepo wa dini ya Kiislamu hapa Mafinga unatarajiwa kuchangia kuimarisha amani na upendo katika eneo letu, kwani dini ya Kiislamu ni dini ya haki na ukweli.