Wakorea wanatengeneza movie?

Krikichino

JF-Expert Member
Oct 5, 2019
651
1,098
Yes! ukimuuliza mtu yeyote kuhusu Korea atakwambia kuhusu series kama IRIS, BRIDAL MASK, HOTEL DE LUNA AU CITY HUNTER.

Lakini vipi kuhusu movkes za kikorea mbona hatuzioni mtaani? Hata kama zipo kwanini sio popular kama series au kama hollywood?

Jibu ni ndio! Wakorea wanatengeneza movies, tena nyingi tu. Kama ambavyo US ina HOLLYWOOD , India kuna BOLLYWOOD Korea ina HALLYUWOOD na kuna makala zinasema kwamba ukiitoa Nigeria inawezekana HALLYUWOOD ni ya 3 kwa kuwa na industry kubwa zaidi ya filamu duniani.

Kuna movie za Korea zimepata hadi OSCARS mfano mzuri ni PARASITE iliyotoka 2019 ambapo ilichukua tuzo nne katika oscars za mwaka 2020 ikiwemo rhe most important category ya BEST PICTURE.

Juzi juzi hapa movie ya MINARI kutokea South Korea japo iliigiziwa marekani ilipata nominations nyingi kwenye Oscars huku Bibie YOUN YUH JUNG akishinda kwenye kipengele cha BEST PERFOMING ACTRESS.

Hiyo inaonesha ni kwa namna gani movies kutokea Korea zinapiga hatua, huku LOTTE CINEMA na CJ E zikiwa ndio kampuni zinaongoza kwa kutengeneza na ku-screen filamu kama ambavyo STEPS ENTERTAINMENT ilikuwa kipindi flani hapa Tanzania.

KWANINI HATUZIONI MOVIE ZAO?

Wengi tushazoea kuangalia series za kikorea lakini sio movies. Sasa hatuzioni kwa sababu movie zao nyingi zinaoneshwa kwenye cinemas.

Na hapo Bongo hakuna cinemas nyingi kwa ajili ya kuangalia movies ukiachana century cinemax which is dedicated kwa wamarekani. Naamini kungekuwa na utitiri wa theatres basi hata Korean series zingepata nafasi.

Kuna baadhi ya Korean movies zinapatkana online. Kwenye suala la streaming pia bando ni ishu na kuna movies pia kutokea Korea ambazo hazipo Online. Mfano PARASITE mpaka sasa hivi haijawekwa Netflix hivyo watu wanashindwa kuangalia.

Kuna kipindi hapa katikati shirika la KOTRA Lilianzisha program ya kuonesha Korean movies katika theatres za Tanzania wakiwa wanaadhamisha ile siku KOREAN FILM FESTIVALS

Ya mwisho ilikuwa pale Kwenye Century Cinemax ya Dar Free Market mwaka 2019 kari ya siku ya tarehe 14 na 15 June bure kabisa bila kiingilio

Sijajua iliishia wapi lakini such events zingekuwa nyingi basi watu wengi wangehamasika kufatilia Korean Movies.


Uzi Tayari










_315x420_a293008abf662804810e86316e72331aa4d51ab16d26222f3da3c90b8a54f521.jpg
b7be14e99a9e0866bdeb18ccba203808.jpg

View attachment 1777860
 
Kuhusu Cinemas Dar zipo sema tatizo uelewa wa watu kuangalia Movies kwenye Theatre bado sana wengi wanasema wataangalia Kwenye Tv au Pc wakidownload hawajui kwamba Kuangalia kwenye Theatre ni the whole different experience unaenjoy movie unafeel soundtracks, you hear every word kunakuwa na vibe pale mnakutana people with the same interest.

Sema uwezi ukalaumu sana sababu ni Kipato Kuangalia Movie Mpya ni 10K+ snacks inafika mpaka 20K ukiwa na partner au family you get the idea itakuwa cost kiasi gani, ambayo kwa Mtanzania wa kawaida kutoa hiyo gharama kwa masaa mawili ya burudani inakuwa ngumu sana

Cinema Tz tukiongeleq Century Cinemax naonaga hazijai unless kuwe na blockbusters Movie ambazo zina Hype let’s say Avengers Endgame ilikuwa ukichelewa unakosa seat au Fast and Furious Sequel (Mm na wanangu tushaipania vibaya mno na wengine wengi) kwa hiyo watu wanajaa sana, kwa hizi movie ambazo za kawaida Tz wananchi kuangalia kwa Cinemas ni bado sana ipo ile Notion kuwa Theatre ni za watu wa Kundi fulani la juu na sisi wa daraja la chini either tuangalie kwa Tv majumban ambapo usubir hadi movie iwe pirated, hauwez kuangalia on premiere day na wengine wako na Vibanda umiza

Nikija kuhusu hizo Movie za Korea binafsi naona hawazionyeshi sana kwa sababu ya Fanbase na wateja Century cinemax ni Company ambayo inafanya biashara kama zingine hawafanyi Charity wanataka Faida kwa hiyo kupata faida lazima waonyeshe Movie ambazo zinawateja, ktk eneo husika Mfano hapa Dar Aura Theatre ni eneo la wahind sana kwa hyo wanaonyeshaga Bollywood Movies kibao ambapo wakati huo M city wanaweka Hollywood action Movies, wanaangalia segment ya wateja considering ukija Movie za Kikorea No offense naona Fanbase ni wadada ambao they don’t pay plus these normal people. Kwahyo kumtoa mwana aende Theatre kuangalia Movie ya korea ni kazi aisee itabid umuaminishe kuwa kitu ni kikali labda promotion kubwa kwa fujo hivi mayb it’ll do
 
Kuhusu Cinemas Dar zipo sema tatizo uelewa wa watu kuangalia Movies kwenye Theatre bado sana wengi wanasema wataangalia Kwenye Tv au Pc wakidownload hawajui kwamba Kuangalia kwenye Theatre ni the whole different experience unaenjoy movie unafeel soundtracks, you hear every word kunakuwa na vibe pale mnakutana people with the same interest.

Sema uwezi ukalaumu sana sababu ni Kipato Kuangalia Movie Mpya ni 10K+ snacks inafika mpaka 20K ukiwa na partner au family you get the idea itakuwa cost kiasi gani, ambayo kwa Mtanzania wa kawaida kutoa hiyo gharama kwa masaa mawili ya burudani inakuwa ngumu sana

Cinema Tz tukiongeleq Century Cinemax naonaga hazijai unless kuwe na blockbusters Movie ambazo zina Hype let’s say Avengers Endgame ilikuwa ukichelewa unakosa seat au Fast and Furious Sequel (Mm na wanangu tushaipania vibaya mno na wengine wengi) kwa hiyo watu wanajaa sana, kwa hizi movie ambazo za kawaida Tz wananchi kuangalia kwa Cinemas ni bado sana ipo ile Notion kuwa Theatre ni za watu wa Kundi fulani la juu na sisi wa daraja la chini either tuangalie kwa Tv majumban ambapo usubir hadi movie iwe pirated, hauwez kuangalia on premiere day na wengine wako na Vibanda umiza

Nikija kuhusu hizo Movie za Korea binafsi naona hawazionyeshi sana kwa sababu ya Fanbase na wateja Century cinemax ni Company ambayo inafanya biashara kama zingine hawafanyi Charity wanataka Faida kwa hiyo kupata faida lazima waonyeshe Movie ambazo zinawateja, ktk eneo husika Mfano hapa Dar Aura Theatre ni eneo la wahind sana kwa hyo wanaonyeshaga Bollywood Movies kibao ambapo wakati huo M city wanaweka Hollywood action Movies, wanaangalia segment ya wateja considering ukija Movie za Kikorea No offense naona Fanbase ni wadada ambao they don’t pay plus these normal people. Kwahyo kumtoa mwana aende Theatre kuangalia Movie ya korea ni kazi aisee itabid umuaminishe kuwa kitu ni kikali labda promotion kubwa kwa fujo hivi mayb it’ll do
Mkuu umeongea vizuri sana hii ni point kubwa sana wanahitaji promotion kubwa ili kushawishi.

Big up kwa mchango mzuri
 
Yes! ukimuuliza mtu yeyote kuhusu Korea atakwambia kuhusu series kama IRIS, BRIDAL MASK, HOTEL DE LUNA AU CITY HUNTER.


Lakini vipi kuhusu movkes za kikorea mbona hatuzioni mtaani? Hata kama zipo kwanini sio popular kama series au kama hollywood?



Jibu ni ndio! Wakorea wanatengeneza movies, tena nyingi tu. Kama ambavyo US ina HOLLYWOOD , India kuna BOLLYWOOD Korea ina HALLYUWOOD na kuna makala zinasema kwamba ukiitoa Nigeria inawezekana HALLYUWOOD ni ya 3 kwa kuwa na industry kubwa zaidi ya filamu duniani.




Kuna movie za Korea zimepata hadi OSCARS mfano mzuri ni PARASITE iliyotoka 2019 ambapo ilichukua tuzo nne katika oscars za mwaka 2020 ikiwemo rhe most important category ya BEST PICTURE.




Juzi juzi hapa movie ya MINARI kutokea South Korea japo iliigiziwa marekani ilipata nominations nyingi kwenye Oscars huku Bibie YOUN YUH JUNG akishinda kwenye kipengele cha BEST PERFOMING ACTRESS.



Hiyo inaonesha ni kwa namna gani movies kutokea Korea zinapiga hatua, huku LOTTE CINEMA na CJ E zikiwa ndio kampuni zinaongoza kwa kutengeneza na ku-screen filamu kama ambavyo STEPS ENTERTAINMENT ilikuwa kipindi flani hapa Tanzania.

KWANINI HATUZIONI MOVIE ZAO?

Wengi tushazoea kuangalia series za kikorea lakini sio movies. Sasa hatuzioni kwa sababu movie zao nyingi zinaoneshwa kwenye cinemas.




Na hapo Bongo hakuna cinemas nyingi kwa ajili ya kuangalia movies ukiachana century cinemax which is dedicated kwa wamarekani. Naamini kungekuwa na utitiri wa theatres basi hata Korean series zingepata nafasi.




Kuna baadhi ya Korean movies zinapatkana online. Kwenye suala la streaming pia bando ni ishu na kuna movies pia kutokea Korea ambazo hazipo Online. Mfano PARASITE mpaka sasa hivi haijawekwa Netflix hivyo watu wanashindwa kuangalia.



Kuna kipindi hapa katikati shirika la KOTRA Lilianzisha program ya kuonesha Korean movies katika theatres za Tanzania wakiwa wanaadhamisha ile siku KOREAN FILM FESTIVALS



Ya mwisho ilikuwa pale Kwenye Century Cinemax ya Dar Free Market mwaka 2019 kari ya siku ya tarehe 14 na 15 June bure kabisa bila kiingilio



Sijajua iliishia wapi lakini such events zingekuwa nyingi basi watu wengi wangehamasika kufatilia Korean Movies.


Uzi Tayari










View attachment 1777811View attachment 1777812
View attachment 1777860
Huu mziki hatari na nusu
 
Back
Top Bottom