Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Yeah, hapo kimsingi unakuwa umekopa hiyo 80%-90% wanayotoa waoUhuni wa EFTA upo kwenye riba, yani unatoa 10%-20% ya mkopo halafu wao wanatoa 80%-90% lakini riba inakuwa calculate kwa kutumia 100% ya mkopo badala ya kutumia Hiyo 80%-90% waliyotoa wao.