Nimeenda kwa fundi (Hapa Arusha) akaniambia gari yangu (VX-Diesel ya 2000 & Manual) imekufa vifaa vifuatavyo;
1. Booster ya Break (tatizo: ukikanyanga break gari ikiwa on inafanya kama inapiga mluzi (mpaka ukanyage na break pedal ifike nusu ya kugonga kwenye bati ndipo hunyamaza), ila break bado ipo.
2. Wishbone & 3. Torsion Bar (tatizo: anasema zimepinda na haziwezi kunyooshwa, hivyo anataka nikanunue zingine mpya). NB: hii ni tairi ya mbele upande wa kushoto.
Ushauri ninaouhitaji:
a) Una ushauri gani wakitaalamu kuhusiana na matatizo ya vifaa tajwa?
b) Kati ya Dar na Nairobi wapi nitakapoweza kuvipata hivi vifaa kwa bei nafuu? Kama ukipendekeza Nairobi, Je TRA/KRA Namanga hawataniletea shida?
c) Kwa wenyeji wa hapa Arusha: Ni sehemu gani ninaweza kuvipata hivi vitu kwa bei ya mwananchi wa kawaida? Kuna “reliable fundi” ambaye una-contacts zake ambaye anaweza akacheki matatizo tajwa na aka-confirm if it’s true or not?
cc: Preta saragossa tempid Ukwaju RugambwaYT RRONDO cabhatica Mshana Jr MANI Kaizer LEGE na wakongwe wengine. Asanteni.
1. Booster ya Break (tatizo: ukikanyanga break gari ikiwa on inafanya kama inapiga mluzi (mpaka ukanyage na break pedal ifike nusu ya kugonga kwenye bati ndipo hunyamaza), ila break bado ipo.
2. Wishbone & 3. Torsion Bar (tatizo: anasema zimepinda na haziwezi kunyooshwa, hivyo anataka nikanunue zingine mpya). NB: hii ni tairi ya mbele upande wa kushoto.
Ushauri ninaouhitaji:
a) Una ushauri gani wakitaalamu kuhusiana na matatizo ya vifaa tajwa?
b) Kati ya Dar na Nairobi wapi nitakapoweza kuvipata hivi vifaa kwa bei nafuu? Kama ukipendekeza Nairobi, Je TRA/KRA Namanga hawataniletea shida?
c) Kwa wenyeji wa hapa Arusha: Ni sehemu gani ninaweza kuvipata hivi vitu kwa bei ya mwananchi wa kawaida? Kuna “reliable fundi” ambaye una-contacts zake ambaye anaweza akacheki matatizo tajwa na aka-confirm if it’s true or not?
cc: Preta saragossa tempid Ukwaju RugambwaYT RRONDO cabhatica Mshana Jr MANI Kaizer LEGE na wakongwe wengine. Asanteni.