Wakoloni wanarudi kwa jina la wawekezaji, ilitabiriwa na tayari inatuathiri

Tumi Lambo

Member
Oct 21, 2021
63
27
Soma post vizuri kabla hujajijbu hoja, kama mtu anayejua anachoema. Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.

Ni ujumbe toka 1967 unaotuathiri leo bila viongozi kujali sababu wanafaidika zaidi na mikataba ya wawekezaji utafikiri ni yao binafsi, ni sawa na machifu wetu waliouza ardhi yetu miaka ya ukoloni wa zamani.

1640517954699.png
 
Ni ujumbe toka 1967 unaotuathiri leo bila viongozi kujali sababu wanafaidika zaidi na mikataba ya wawekezaji utafikiri ni yao binafsi, ni sawa na machifu wetu waliouza ardhi yetu miaka ya ukoloni wa zamani.
View attachment 2058327
Kwahiyo unataka wawekezaji wasije? Aise hizi akili za kimaskini hizi. Ni sawa na enzi za jpm umaskini ndo ilikuwa uzalendo. Tulikuwa tunaelekea nchi nzima wote kuwa machinga na ingefikia hatua hmna hata wa kulipa kodi. Nchi ilikuwa imepatwa kweli.

Kwa Nini mimaskini haina fikra kabisa. Mda wote inawaza umaskini tu na kuuana kwa uchawi Kama hili lileta mada
 
Kwahiyo unataka wawekezaji wasije? Aise hizi akili za kimaskini hizi. Ni sawa na enzi za jpm umaskini ndo ilikuwa uzalendo. Tulikuwa tunaelekea nchi nzima wote kuwa machinga na ingefikia hatua hmna hata wa kulipa kodi. Nchi ilikuwa imepatwa kweli.

Kwa Nini mimaskini haina fikra kabisa. Mda wote inawaza umaskini tu na kuuana kwa uchawi Kama hili lileta mada
Tutashitakiwa MIGA ya Lisu ndiyo anachomanisha mleta mada
 
Tutashitakiwa MIGA ya Lisu ndiyo anachomanisha mleta mada
Hata marekani nchi tajiri kubwa zaidi duniani haiwezi kufukuza wawekeza inawakaribisha kwa mikono miwili. Muwe mnasoma mnaelewa jamani hata Kama vyuo vyeti hamna kitu pale zaidi ya GPA tu za kufa mtu i.e SAUT
 
Kwahiyo ni bora tupambane tuwe donor country! Kwa strategies zipi hasa.
Tuwe waangalifu kama post inavyosema, kwamba tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
 
Hata marekani nchi tajiri kubwa zaidi duniani haiwezi kufukuza wawekeza inawakaribisha kwa mikono miwili. Muwe mnasoma mnaelewa jamani hata Kama vyuo vyeti hamna kitu pale zaidi ya GPA tu za kufa mtu i.e SAUT
Tuwe waangalifu kama post inavyosema, kwamba tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
 
Ni ujumbe toka 1967 unaotuathiri leo bila viongozi kujali sababu wanafaidika zaidi na mikataba ya wawekezaji utafikiri ni yao binafsi, ni sawa na machifu wetu waliouza ardhi yetu miaka ya ukoloni wa zamani.

View attachment 2058327
Umenukuu kilichosemwa bila hata deep reasoning.
Unategemea nini sasa kama tumeshindwa kutumia uhuru wetu vizuri??
Hivi imagine miaka 60 baada ya uhuru bado tunashughulikia masuala ya maji, umeme, barabara, n.k huku tukihasimiana wenyewe kwa wenyewe...!
Ngoja wawekezaji waje... Hatupo duniani kuteseka peke yetu!!
 
Kwahiyo unataka wawekezaji wasije? Aise hizi akili za kimaskini hizi. Ni sawa na enzi za jpm umaskini ndo ilikuwa uzalendo. Tulikuwa tunaelekea nchi nzima wote kuwa machinga na ingefikia hatua hmna hata wa kulipa kodi. Nchi ilikuwa imepatwa kweli.

Kwa Nini mimaskini haina fikra kabisa. Mda wote inawaza umaskini tu na kuuana kwa uchawi Kama hili lileta mada
Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
 
Umenukuu kilichosemwa bila hata deep reasoning.
Unategemea nini sasa kama tumeshindwa kutumia uhuru wetu vizuri??
Hivi imagine miaka 60 baada ya uhuru bado tunashughulikia masuala ya maji, umeme, barabara, n.k huku tukihasimiana wenyewe kwa wenyewe...!
Ngoja wawekezaji waje... Hatupo duniani kuteseka peke yetu!!
Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
 
Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
Nani shujaa!!! Huyu huyu muuaji aliyetaka kumuua mtume wetu mwingira na lisu
 
Bila wawekezaji akina Vodacom, Tigo etc tungekuwa wapi? Tungekuwa tunaishije?

Wewe unayekataa wawekezaji umeifanya nini kukuza uchumi na ajira?

Huyo Mwanasiasa wa Zambia aliifanyia nini nchi yake ili kukwepa wawekezaji?

Nchi kama UAE, Marekani hata China, uchumi wake umekuwa boosted sana na wawekezaji

Sasa wewe jifungie na umasikini wako ufikiri dunia itaku miss
 
Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.

Ni ujumbe toka 1967 unaotuathiri leo bila viongozi kujali sababu wanafaidika zaidi na mikataba ya wawekezaji utafikiri ni yao binafsi, ni sawa na machifu wetu waliouza ardhi yetu miaka ya ukoloni wa zamani.

View attachment 2058327
Lini ukoloni uliisha afrika sema imebadilika rangi toka wakoloni weupe na kuwa wakoloni weusi.
Bora ya wakoloni weupe walituletea maendeleo, wakoloni weusi wameleta tabu na umasikini,walipigania UHURU kwa ajili ya manufaa yao na ya familia zao tu.
 
Tuwe waangalifu kama post inavyosema, kwamba tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
Tusikope toka China, ukishindwa lipa anakamata mali.Mzungu hana upuuzi huo wa kukamata mali yako anajua atarudishaje
 
Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
Tumepewa akili... tusipozitumia wakati wa kuingia makubaliano tutaishia kuwa waoga... Singapore, Dubai, Thailand, Korea Kusini, Rwanda, Brazil, China zitaendelea kutuvuka na kutuzunguka!
Tuamke! Tubadilike...!
Tanzania si kisiwa... Tanzania ni sehemu ya dunia. Hatuwezi kuwazuia milele!
 
Tumepewa akili... tusipozitumia wakati wa kuingia makubaliano tutaishia kuwa waoga... Singapore, Dubai, Thailand, Korea Kusini, Rwanda, Brazil, China zitaendelea kutuvuka na kutuzunguka!
Tuamke! Tubadilike...!
Tanzania si kisiwa... Tanzania ni sehemu ya dunia. Hatuwezi kuwazuia milele!
Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
 
Bila wawekezaji akina Vodacom, Tigo etc tungekuwa wapi? Tungekuwa tunaishije?

Wewe unayekataa wawekezaji umeifanya nini kukuza uchumi na ajira?

Huyo Mwanasiasa wa Zambia aliifanyia nini nchi yake ili kukwepa wawekezaji?

Nchi kama UAE, Marekani hata China, uchumi wake umekuwa boosted sana na wawekezaji

Sasa wewe jifungie na umasikini wako ufikiri dunia itaku miss
Soma post vizuri kabla hujajijbu hoja, kama mtu anayejua anachoema. Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini wakoloni watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
 
Soma post vizuri kabla hujajijbu hoja, kama mtu anayejua anachoema. Kila nchi inahitaji wawekezaji, lakini lazima tuwe waangalifu na kutunza uhuru wetu kama post inavyosema, tusipokuwa makini wakoloni watarudi kama wawekezaji. Angalia Zambia na Kenya na hatihati za kupoteza haki za baadhi ya miundo mbinu yao. Kama mkataba wa Bandari ya Bagamoyo uliofichuliwa na Hayati shujaa Magufuli.
Sio wawekezaji ni kukopa kiholela kutoka kwa Wachina kama Magufuli alivyokuwa akifanya
 
Back
Top Bottom