Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Maneno ya Shaaban Robert kwenye kitabu Maisha yangu na baada ya miaka hamsini.
IDARA YA FORODHA
SASA katika kazi ya ukarani nilikuwa mimekwisha kutimiza miaka kumi katika idara hii. Mshahara wangu wa shilingi sitini
kwa mwezi nilioanzia kazi sasa ulikuwa umezidi mara mbili kwa sababu kila mwaka nilipata maongezo yangu pasipo zuio.
IDARA YA FORODHA
SASA katika kazi ya ukarani nilikuwa mimekwisha kutimiza miaka kumi katika idara hii. Mshahara wangu wa shilingi sitini
kwa mwezi nilioanzia kazi sasa ulikuwa umezidi mara mbili kwa sababu kila mwaka nilipata maongezo yangu pasipo zuio.