Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
Salute wakuu,
Kuna muda huwa nakaa najiuliza kama wazungu (wakoloni) wasinge tutawala Afrika tungekuwa wapi leo na uchumi wengi ungekuaje ukilinganisha na maisha mengine kama India, Amerika Kusini.
Kuna kitabu nimekisoma kimeeleza kwa kama wazungu wasingetutawala tungekuwa mbali katika sekta ya ufundi maana kipindi hicho kulikuwa na uundaji was vitu mbalimbali Kama vikapu na jee vinegeweza kusukuma uchumi wetu.
Mwenye dukuduku hapo chini
Kuna muda huwa nakaa najiuliza kama wazungu (wakoloni) wasinge tutawala Afrika tungekuwa wapi leo na uchumi wengi ungekuaje ukilinganisha na maisha mengine kama India, Amerika Kusini.
Kuna kitabu nimekisoma kimeeleza kwa kama wazungu wasingetutawala tungekuwa mbali katika sekta ya ufundi maana kipindi hicho kulikuwa na uundaji was vitu mbalimbali Kama vikapu na jee vinegeweza kusukuma uchumi wetu.
Mwenye dukuduku hapo chini