mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
Wakuu salamu natumai muwazama kama mimi kiafya na munaendelea kusukuma gurudumu la maisha kama kawa.baada ya kurejea ndani yakijiji kutoka huko ughaibuni siku kadha zilizopita nilifurah kuwakuta na mukanipokea.badae ilinilazimu kutembelea vijiji vingine kuwasabah ndugu na jamaa kama ilivyo destur yangu.chakushangaza mpaka namaliza vijiji ya wilaya hii ya jf sijawah kutana na watu hawa.ruhazwe jr.ruttashobolwa,badili tabia.chili.mzalendo,zero two one,tanmo,don mangi,sumbalawinyo,cute,mtu chake,bigirita,marejesho,kapistrana,na mtu niliyempigiaga misele sana enzi hizo umiy kuluthumu.list nindefu ila naomba kutambua michango yao.sijui wamebadi nyuso zao za utambulisho au wanachezea kifungo.naomba kuwakilisha.
Cc arusha one
paka jimiy
baba v.
MADAME B.
Cc arusha one
paka jimiy
baba v.
MADAME B.