Freesoule
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 269
- 272
Wako wapi wale wasanii uchwara wa Injili waliotumika kuwa-promote wagombea wa CCM kwenye uchaguzi mkuu wa 2015? Bon Mwaitege, Rose Muhando, Bahati Bukuku, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, n.k.
Akina Rose Muhando, Bahati Bukuku, Martha Mwaipaja, Upendo Nkone? Mimi tokea 2015 niliacha kabisa kuwasikiliza.
Nilisikia Rose Muhando yuko choka mbaya na aliibukia huko Kenya akidai aombewe.
Siwezi kusahau jinsi Bahati Bukuku alivyotuambia kwenye wimbo wake aliomwimbia Mwigulu Nchemba kuwa huyo ndiye chaguo la mungu. Mwigulu Nchemba hakuchomoka hata kwenye kura za maoni, nikabaki najiuliza "mungu yupi huyo ambaye Bahati Bukuku alikuwa akimzungumzia?" Pengine huyo Mungu ni njaa na tumbo lake.
Yule mwingine wa kujilizaliza Upendo Nkone sikuamini alichokifanya. Ndipo nikajua kuwa alikuwa anadanganya toto tu kujifanya kuimba kwa hisia. Ni mchumia tumbo mkubwa.
Hawa 'wasanii' wajue kuwa ni sehemu ya matatizo ambayo wanapata Watanzania leo chini ya utawala wa CCM.
Pia tusiwasahau wale "wasanii wa muziki wa dunia" kama akina Ali Kiba, Diamond, Mensen Selekta na Marlaw walivyotumika kuwanadi CCM.
Akina Rose Muhando, Bahati Bukuku, Martha Mwaipaja, Upendo Nkone? Mimi tokea 2015 niliacha kabisa kuwasikiliza.
Nilisikia Rose Muhando yuko choka mbaya na aliibukia huko Kenya akidai aombewe.
Siwezi kusahau jinsi Bahati Bukuku alivyotuambia kwenye wimbo wake aliomwimbia Mwigulu Nchemba kuwa huyo ndiye chaguo la mungu. Mwigulu Nchemba hakuchomoka hata kwenye kura za maoni, nikabaki najiuliza "mungu yupi huyo ambaye Bahati Bukuku alikuwa akimzungumzia?" Pengine huyo Mungu ni njaa na tumbo lake.
Yule mwingine wa kujilizaliza Upendo Nkone sikuamini alichokifanya. Ndipo nikajua kuwa alikuwa anadanganya toto tu kujifanya kuimba kwa hisia. Ni mchumia tumbo mkubwa.
Hawa 'wasanii' wajue kuwa ni sehemu ya matatizo ambayo wanapata Watanzania leo chini ya utawala wa CCM.
Pia tusiwasahau wale "wasanii wa muziki wa dunia" kama akina Ali Kiba, Diamond, Mensen Selekta na Marlaw walivyotumika kuwanadi CCM.