Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Ndugu..
Jaribu kukumbuka mlipoanza darasa la kwanza.. Darasani mlikuwa wengi zaidi ya 100 mpaka mnaingia class kwa zamu, wengine mchana wengine asubuhi. Ilipofika Darasa la Nne Mkapita Wachache Kama 80 Hivi, Darasa La Saba Mkafaulu Kama 20 (drop outs 80 kwa primary).
Hao Ishirini Mkabahatika wote kuenda sekondari, kidato cha pili mkapita 15, Kidato Cha nne mkafaulu 10. (drop out 10, ordinary Level).
Advanced level mkaingia 8 mkamaliza kidato cha sita na kufaulu 5 (drop outs 5 advanced level).
Elimu ya juu kutokana na gharama mkaingia watatu, sijui mlimaliza wangapi.
The point is toka watu 100 wamefika watatu, 97 wote wamedondoka. Wako wapi? Nani aliewajali? Japo kuwapa elimu mbadala?.. Elimu hii aloiacha mkoloni haikuwa na lengo kutunufaisha bali ku-recruit wafanyakazi wachache, makarani na messengers. Hao waingereza walotuachia now wanatumia mfumo mwingine.
SWALI: Je Huu Mfumo (Pryamidal Education System) Una Tija Kwetu Miaka 50 Baada Ya Uhuru??
Jaribu kukumbuka mlipoanza darasa la kwanza.. Darasani mlikuwa wengi zaidi ya 100 mpaka mnaingia class kwa zamu, wengine mchana wengine asubuhi. Ilipofika Darasa la Nne Mkapita Wachache Kama 80 Hivi, Darasa La Saba Mkafaulu Kama 20 (drop outs 80 kwa primary).
Hao Ishirini Mkabahatika wote kuenda sekondari, kidato cha pili mkapita 15, Kidato Cha nne mkafaulu 10. (drop out 10, ordinary Level).
Advanced level mkaingia 8 mkamaliza kidato cha sita na kufaulu 5 (drop outs 5 advanced level).
Elimu ya juu kutokana na gharama mkaingia watatu, sijui mlimaliza wangapi.
The point is toka watu 100 wamefika watatu, 97 wote wamedondoka. Wako wapi? Nani aliewajali? Japo kuwapa elimu mbadala?.. Elimu hii aloiacha mkoloni haikuwa na lengo kutunufaisha bali ku-recruit wafanyakazi wachache, makarani na messengers. Hao waingereza walotuachia now wanatumia mfumo mwingine.
SWALI: Je Huu Mfumo (Pryamidal Education System) Una Tija Kwetu Miaka 50 Baada Ya Uhuru??