Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
katika soko la vinywaji hapa inchini kumekuwepo na utaratibu wa wazalishaji kutangaza bei za rejareja ambazo hupendekezwa kutumiwa na wauzaji wa mwisho wa bidhaa hizo. Lakini imekuwa ni kitu cha kawaida kuona kuwa wauzaji wa rejareja huwa hawazingatii bei zinazopendekezwa na wazalishaji. Angalia mifano michache:
1: Bei za bia
2: Bei za soda
3: Bei za maji ya kunywa
n.k.
Je hawa wahusika wanaotakiwa kuhakikisha kuwa wauzaji wa rejareja wanazingatia bei zinazopendekezwa na wazalishaji wako wapi hadi haya yanakuwa mazoea. Kwani ugumu wa maisha unasababishwa na ongezeko la nauli tu?
1: Bei za bia
2: Bei za soda
3: Bei za maji ya kunywa
n.k.
Je hawa wahusika wanaotakiwa kuhakikisha kuwa wauzaji wa rejareja wanazingatia bei zinazopendekezwa na wazalishaji wako wapi hadi haya yanakuwa mazoea. Kwani ugumu wa maisha unasababishwa na ongezeko la nauli tu?