Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,822
- 3,392
- Thread starter
- #161
Born late uuuh???Wow kumbe ndiye huyu dada mrefu kama twiga😘
Born late uuuh???Wow kumbe ndiye huyu dada mrefu kama twiga😘
Alikua meneja mahusiano Bank ya stanbic,akala njama na mkurugenzi was TRa bwana tillya wakapiga billions kadhaa miaka kama mitano nyumaFA alikuwa fundi
Demu wangu wa kwanza unaipata??Tusaidie kuuweka hapa chief
Pia kama unazo nyingine za kwenye album ya 'Toleo Lijalo' tuwekee
Nyimbo kama;-
Ungenambia ft Stara
Aminia ft Alberto & Inspector
Wakati umelala ft Jose Mtambo & Suka
Yupo marekani kaolewa na mzungu,sio mzungu tu,,MZUNGU TAJIRI SANATausi Likokola huyu ana50 sasa Hivi nafikiri
Early ..90's, is it late for this ?🤔Born late uuuh???
Kind of lol...Early ..90's, is it late for this ?🤔
Ooh 🤔Kind of lol...
Na mdogo wao mmoja akiitwa Kite Bandawe.Ndio Malik Bandawe au Chiwa man wa TNG Squard..mtoto wa Tanga Line.
Yes bossOoh 🤔
YeahMiriam oDEMBA ni binti yako?
Mzee Generali Ulimwengu alikuwa anatafuna huo mzigo.nakumbuka huyu manzi alikua na saluni yake town mitaa ya clock tower ..fikiria miaka 6-7 nyuma dem alikua anapush Range Sport aisee !! Nilikua nammezea mate sana
RIP LOY.Au kwa hayati producer Loy BUKUKU,kaka yake Enika na Evan's Bukuku au kwa Enrico sound crafter
Yupo marekani kaolewa na mzungu,sio mzungu tu,,MZUNGU TAJIRI SANA
Singeli. We maaaaama, we dadaaaaaa. Kwiyooo Kwiyoo
Kwa niaba yake...shukraniDah hongera zake
Shose yuko uraiani. Kesi yao ilikwisha.Huu ndio ulikua mziki.Nakumbuka nilitoloka shule Kibaha Secondary nikaja Dar kihudhuria show ya FA pale Chuo kikuu Mlimani.Nani kama FA,nilikua namkubali sana kuliko madogo wanavyomkubali Mondi.
Mimi nikiwaona kina FA Jay Mo,Solo huwa nafurahi sana coz hicho ndio kizazi chetu cha muziki.
Nilinunua albamu zote za FA nilikua nazo hadi leo makava ya zile kanda ninazo.Mara ya mwisho nilihangaika sana kupiga picha na FA pale mabibo hostel it was 2003.
Ngoma ya mabinti ni kweli inafanana na ya Jay Mo ile ya kama unataka demu zilikua moto sana zote mbili,na tumecheza sana club hizo ngoma. FA katolewa kimziki na produza Boniluv hadi leo FA hawezi kutaja historia yake career wise bila ku mention jina la Boniluv.
MADEMU KWENYE WIMBO
1.Seven...alikua meneja wa Kiba,alikua pini sana enzi hizo na aliwahi msimamia kimziki Jay dee pia
2."Kisese mithili ya Radhia"....hawa walikua wawili walikua wanaunda kundi la Unique sisters alikuwepo Radhia na Radhina
3.Happy Magese alikua Miss for now anajulikana kama Millen Magese
4.Zay b,Ray C, wote walikua wanamziki.
5.Shose alikua pini sana,now nadhani yupo jela kwa ile case yao pale Stanbic
6.Mboni Mhita alikua mbunge enzi hizo nasikia alikua pini balaa
Enzi hizo ndio Pfunk alikua anammendea Kajala nadhani kwenye wimbo wa Jay mo katajwa kama sijakosea.
Sijawahi ona wimbo mbaya wa mwanafa hadi leo.kwenye laptop yangu nina nyimbo zake zote toka nipo chuo nazitunza.
Kuna ngoma moja yupo na lady jayde inaitwa "siku nikianguka" inahusu kifo usipime kali sana na ina touch sana,kuna mistari hua naipenda inasema
(nihodhi makazi yangu kando ya ufukwe wa bahari,
mke mzuri aliepambwa nyumbani na watoto walionawiri,
mikono yangu izungushe usukani wa motokari,
tupia macho takwimu,mimi mwana wa adamu kwani kasi inatisha,
maisha yangu yatakatika,
nafsi itabaki na tamaa lakini kamwe mwili hautoamka")
Nani kama MwanaFa hiki kizazi cha iyoooo Laizaaaaa haikuji mambo haya.
habari za p funk na kajala mlikuwa mnazipata wapi maana kulikuwa hamna YouTube na InstagramHuu ndio ulikua mziki.Nakumbuka nilitoloka shule Kibaha Secondary nikaja Dar kihudhuria show ya FA pale Chuo kikuu Mlimani.Nani kama FA,nilikua namkubali sana kuliko madogo wanavyomkubali Mondi.
Mimi nikiwaona kina FA Jay Mo,Solo huwa nafurahi sana coz hicho ndio kizazi chetu cha muziki.
Nilinunua albamu zote za FA nilikua nazo hadi leo makava ya zile kanda ninazo.Mara ya mwisho nilihangaika sana kupiga picha na FA pale mabibo hostel it was 2003.
Ngoma ya mabinti ni kweli inafanana na ya Jay Mo ile ya kama unataka demu zilikua moto sana zote mbili,na tumecheza sana club hizo ngoma. FA katolewa kimziki na produza Boniluv hadi leo FA hawezi kutaja historia yake career wise bila ku mention jina la Boniluv.
MADEMU KWENYE WIMBO
1.Seven...alikua meneja wa Kiba,alikua pini sana enzi hizo na aliwahi msimamia kimziki Jay dee pia
2."Kisese mithili ya Radhia"....hawa walikua wawili walikua wanaunda kundi la Unique sisters alikuwepo Radhia na Radhina
3.Happy Magese alikua Miss for now anajulikana kama Millen Magese
4.Zay b,Ray C, wote walikua wanamziki.
5.Shose alikua pini sana,now nadhani yupo jela kwa ile case yao pale Stanbic
6.Mboni Mhita alikua mbunge enzi hizo nasikia alikua pini balaa
Enzi hizo ndio Pfunk alikua anammendea Kajala nadhani kwenye wimbo wa Jay mo katajwa kama sijakosea.
Sijawahi ona wimbo mbaya wa mwanafa hadi leo.kwenye laptop yangu nina nyimbo zake zote toka nipo chuo nazitunza.
Kuna ngoma moja yupo na lady jayde inaitwa "siku nikianguka" inahusu kifo usipime kali sana na ina touch sana,kuna mistari hua naipenda inasema
(nihodhi makazi yangu kando ya ufukwe wa bahari,
mke mzuri aliepambwa nyumbani na watoto walionawiri,
mikono yangu izungushe usukani wa motokari,
tupia macho takwimu,mimi mwana wa adamu kwani kasi inatisha,
maisha yangu yatakatika,
nafsi itabaki na tamaa lakini kamwe mwili hautoamka")
Nani kama MwanaFa hiki kizazi cha iyoooo Laizaaaaa haikuji mambo haya.
Magazeti ya udaku,vijiweni,shuleni, kwenye matamasha nk. humo kote stori za watu maarufu zinapigwa na zinasambaa kwa kasi.habari za p funk na kajala mlikuwa mnazipata wapi maana kulikuwa hamna YouTube na Instagram
NakupendaShose yuko uraiani. Kesi yao ilikwisha.
Hahahaa p funk na kajala wameanza kutrend zamaniMagazeti ya udaku,vijiweni,shuleni, kwenye matamasha nk. humo kote stori za watu maarufu zinapigwa na zinasambaa kwa kasi.
Unaweza kukuta mtu 1 kaenda kwenye tamasha mf.Diamond jubilee akikuta stori ya umbea au akimuona star na demu wake akirudi mtaani anawakusanya watu anawapigisha stori ,huyo ndiye anaonekana mjanja wa mtaa.