Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,823
- 93,523
Umenikumbusha TA, mimi mtoto wa Nguvumali miaka ya late's 80
Nguvumali ipi mzee?
maeneo ya kwa marehemu Mchome karibu na jeshini, karibu na Ikulu, karibu na Kisosora, karibu na nyumba za bandari au karibu na Mwamboni?