Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,016
- 54,299
Bell 9Kama walikuwa kwenye kampeni za CCM basi kuanzia sasa nimewadharau, uzuri sikuwaona kwenye kampeni
Alifanya Show Bagamoyo Wakati Jiwe Anakwenda Tanga
Bell 9Kama walikuwa kwenye kampeni za CCM basi kuanzia sasa nimewadharau, uzuri sikuwaona kwenye kampeni
DahBell 9
Alifanya Show Bagamoyo Wakati Jiwe Anakwenda Tanga
Haa😁😂😀😀😅😄😄
Alikosea terms and conditions kkUnaweza usiamini, Bele 9 ashawahi kua level moja na Diamond.
Sijui walikosea wapi?
Kivipi? Hivi mziki wake ulikuwa unasimamiwa na nani? Nadhani management labda ndo ilimuangushaAlikosea terms and conditions kk
Naikumbukaga pisi yangu kali ilikuwa inaupenda sana huu wimbo Hidaya!Hizi nyimbo zao nazisikiliza kila siku mpaka mzungu wangu anaona wivu ukizingatia haelewi lugha hahahahaha.
Wimbo wa Belle9 listen, vitamin music, nilipe nisepe, etc. Nyimbo za Pasha Hidaya, Ni soo. Naposikiliza hizi nyimbo mashetani yangu hunipanda mbaya nakuwa kama niko mbinguni. Bila kumsahau Banana Zorro.
True legends please toeni nyimbo mpya mimi shabiki yenu bado nawahitaji na nawakubali sana. Niko tayari kujitolea u video queen maana vigezo ninavyo. Popote mlipo jua mimi Ashera nawakubali kuliko kitu chochote. My all time bongo fleva artists, best of the best
Belle9 anatoa nyimboHizi nyimbo zao nazisikiliza kila siku mpaka mzungu wangu anaona wivu ukizingatia haelewi lugha hahahahaha.
Wimbo wa Belle9 listen, vitamin music, nilipe nisepe, etc. Nyimbo za Pasha Hidaya, Ni soo. Naposikiliza hizi nyimbo mashetani yangu hunipanda mbaya nakuwa kama niko mbinguni. Bila kumsahau Banana Zorro.
True legends please toeni nyimbo mpya mimi shabiki yenu bado nawahitaji na nawakubali sana. Niko tayari kujitolea u video queen maana vigezo ninavyo. Popote mlipo jua mimi Ashera nawakubali kuliko kitu chochote. My all time bongo fleva artists, best of the best
Inaitwa AsanteFatilia you tube chanell zao Belle 9 anagonga nyimbo kama kawaida, last week kaachia nyimbo mpya inaitwa Amen
Bell9 ana sauti ya kimuziki haswaaa ila tatizo wakikupoteza mawingu kuinuka Tena kaziInaitwa Asante