Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Mke anaeishi MASAKI akimuagiza mumewe"honey plz ukitoka kazini nilitee soseji,piza au kuku,plz swty usisahau"
Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili"
WW MKEO/MUME NI WA WAPI?ANAANGIZA VIPI?
Ishu ipo kwa Mke wa TANDALE"Utackia "wewe Juma usisahau ukirudi uje na miguu ya kuku,muhindi wa kuchoma weka na ndimu na pilipili nyingi,embe ng'ong'o,mihongo ya kukaanga na utumbo wa kuku usisahau kuweka ndimu na pilipili"
WW MKEO/MUME NI WA WAPI?ANAANGIZA VIPI?