Ack
Member
- Dec 21, 2016
- 88
- 87
Habari wana JF
Mimi naomba kuuliza maana hapa nimekuta sehemu jamaa wanabishana na mimi nikashindwa kujua lipi ni lipi.
Kuna jamaa anasema waliokuwa waajiriwa wa serikali kama wakurugenzi, wakuu wa wilaya ma mikoa waliokuwa serikalini enzi za utawala wa kikwete eti wakitumbuliwa huwa wanaendelea kulipwa mishahara yao kama kawaida?
Naomba kusaidiwa.
Mimi naomba kuuliza maana hapa nimekuta sehemu jamaa wanabishana na mimi nikashindwa kujua lipi ni lipi.
Kuna jamaa anasema waliokuwa waajiriwa wa serikali kama wakurugenzi, wakuu wa wilaya ma mikoa waliokuwa serikalini enzi za utawala wa kikwete eti wakitumbuliwa huwa wanaendelea kulipwa mishahara yao kama kawaida?
Naomba kusaidiwa.