NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Manyani Fc wanasajili wachoma mahindi wa Congo wanatuma mapichapicha tu,mimi hata siwaelewagi.
Huna lolote, eleza
Rage ndio hao aliowaita mbu mbu mbu!!Uzuri wa Mikia hawana kumbukumbu. Rage alikuwa akiwasajili sebuleni kwake.
Halafu mjue popote mtu anamwaga wino. Formal introduction inafuata wakati muafaka.
Ndiyo maneno ya mwanasiasa mmoja shabiki wa Simba.
Imasikitisha sana.
Naona wameanza Kama waliyofanya kwa Manji baada ya Yanga kuanza kushusha vifaa vya maana.
Mtulie hivyo hivyo. Hiyo ilikuwa trailer. Movie yenyewe bado.
Sio kila jambo ni ushabiki tu!! Lazima pesa ziwe zinajulukana vyanzo vyake, mfano madai ya yule morison kuwa aliingiziwa bank ya UBA, Kiasi cha $25,000,kutoka kwa mtu asiyemfahamu, kama pesa za usajiri, ikabidi aiagize bank, izirudishe kwa mhusika, kwani hafahamu chanzo chake!! Wachezaji wanasajiliwa tu, kifupi kila zama na watu wake wanaofaidi, awamu hii hiyo kampuni ndio muda wao wa kula matunda, kama ilivyokuwa zamani ile kampuni ya mafuta. Yaani sheria ile ya FIFA, ya financial fair play, ikija hapa kwetu hakuna timu itapona!!! Afadhari upande wa simba angalau kwa sasa pesa ya usajiri inajulikana anatoka wapi.Ndiyo maneno ya mwanasiasa mmoja shabiki wa Simba.
Imasikitisha sana.
Naona wameanza Kama waliyofanya kwa Manji baada ya Yanga kuanza kushusha vifaa vya maana.
Mtulie hivyo hivyo. Hiyo ilikuwa trailer. Movie yenyewe bado.
Siasa za mpira hizo. Morrison alishalishwa sumu na akina Hans Poppe. Asijue pesa inatoka wapi?Sio kila jambo ni ushabiki tu!! Lazima pesa ziwe zinajulukana vyanzo vyake, mfano madai ya yule morison kuwa aliingiziwa bank ya UBA, Kiasi cha $25,000,kutoka kwa mtu asiyemfahamu, kama pesa za usajiri, ikabidi aiagize bank, izirudishe kwa mhusika, kwani hafahamu chanzo chake!! Wachezaji wanasajiliwa tu, kifupi kila zama na watu wake wanaofaidi, awamu hii hiyo kampuni ndio muda wao wa kula matunda, kama ilivyokuwa zamani ile kampuni ya mafuta. Yaani sheria ile ya FIFA, ya financial fair play, ikija hapa kwetu hakuna timu itapona!!! Afadhari upande wa simba angalau kwa sasa pesa ya usajiri inajulikana anatoka wapi.
Dogo, acha dharau.
Hata kama ni hivyo, lakini usajiri wa timu unategemea watu binafsi, mishahara nayo ni hivyo hivyo, tu, huwezi kukubali wachezaji wako, karibia kila mtu mshahara wake, unalipwa na mdau fulani!!! Haijulikani zao la hizo pesa ni nini?!!!Siasa za mpira hizo. Morrison alishalishwa sumu na akina Hans Poppe. Asijue pesa inatoka wapi?
Reason kidogo
Je Mooo... sio mtu fulani afanyae usajili na kulipa mishahara...?Hata kama ni hivyo, lakini usajiri wa timu unategemea watu binafsi, mishahara nayo ni hivyo hivyo, tu, huwezi kukubali wachezaji wako, karibia kila mtu mshahara wake, unalipwa na mdau fulani!!! Haijulikani zao la hizo pesa ni nini?!!!
Moo, pesa inajulikana inatoka kwenye kampuni zake inakwenda kwenye account ya timu, then zinawekwa kwenye account za wachezaji, sasa huko kwingine, inaonekana tu pesa imetoka kwa MBWIGA, imekwenda kwenye account ya mchezaji, huyo mbwiga hata mchezaji hamjui!! Kuna nini hapo?!!Je Mooo... sio mtu fulani afanyae usajili na kulipa mishahara...?