Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Viongozi wetu wakisafiri umati wa viongozi na wananchi wengine huenda 'eapoti' na wakirejea hupokelewa kwa mbwembe....nini kinawasukuma watu kuacha kufanya kazi na kupoteza muda na rasilimali?
Mfano: Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Anna Makinda akilakiwa na Wanachama wa UWT Mkoa wa Dar es Salaam Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jana Muda mfupi baada ya kurejea nchini akitokea nchini Namibia kuhudhuria mkutano wa Bunge la SADC
Mfano: Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Anna Makinda akilakiwa na Wanachama wa UWT Mkoa wa Dar es Salaam Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jana Muda mfupi baada ya kurejea nchini akitokea nchini Namibia kuhudhuria mkutano wa Bunge la SADC