kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
wamechanganyika, wapo akina mbilinyi wenye asili ya mkoa wa ruvuma upande wa nyasa, pia wapo wapo akina mbilinyi wakinga. ila wote hao asili yao ni wangoni waliohamia toka kusini mwa bara la afrika.Mbilinyi ni Wakinga au Wabena?