MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Aiseee..........
Haya tumejua wewe ni kabila ulilotaja, huhitaji kutumia nguvu nyingi ,😂😂Na waha je? Hao ndio tishio kwa mchaga
Waambie haoNdoto za kimweri na paw wachaga wame shift kutoka uchuuzi kwenda kwenye stage nyingine ya kutafta hela, na wakinga wako hyo stage ya uchuuzi ambayo wachaga wameicha na kufungua makapuni makubwa
So far kuna mambo ninayafanya na ninasonga mbele kutokana na connection, kweli bila connection na cooperation kutoboa ni kipengele....
Makabila na biashara ni vitu viwili tofauti..
Business is all about idea....ukiwa na idea nzuri ya biashara na ukaiweka ktk vitendo unatoboa.
Lakini utakuwa unajidanganya kuamini kwamba utafanikiwa/utatoboa bila ushirikiano kutoka kwa watu wengine.
Success is all about connection and corporation...
Sasa hayo makabila mnayoyataja na hao wahindi,waarabu na wachina n.k wanatumia hii kitu.... connection and corporation.
Makabila/jamii nyingine ndugu akifanikiwa tu either arogwe au ndugu wamuibie then afirisike ndo furaha yao.
take it or leave it.
Nakudharau kwa Sababu haupo kwenye mfumo wa Biashara za Kariakoo na Jinsi zinavyoenda na wakinga na wabena walivyofanikiwa...Kama hujui kitu kaa kimyaawatu kama nyie mpo wengi sana bongo mnakera sana sasa wewe nani alikuambia mtu akiwa na hela ni lazima akukope daah kwa akili hizi bora jamaa alikufungia tu vioo upambane na ujinga wako
Nakudharau kwa Sababu haupo kwenye mfumo wa Biashara za Kariakoo na Jinsi zinavyoenda na wakinga na wabena walivyofanikiwa...Kama hujui kitu kaa kimyaa
watu kama nyie mpo wengi sana bongo mnakera sana sasa wewe nani alikuambia mtu akiwa na hela ni lazima akukope daah kwa akili hizi bora jamaa alikufungia tu vioo upambane na ujinga wako
Wakinga wana UTU sana na kujali wengine sio?Kuna Mchagga Mmoja jirani Yangu na tunafanya Biashara wote nilimuazima Millioni Tano nimrudishie mwisho wa mwezi ..maana mzigo wangu ndo ulikua upo Bandarini unaingia...so nilitaka mzigo wa Bandarini Ukifika tu Dukani Tayari niwe nishaagiza mwingine....ili wateja wasikose Tena Mali...Alichonijibuu daah niliweka moyoni...na ninasali nae Jumuiya na kanisa moja piah ...so anamfaamu vizuri na Mimi nafaamu vizuri sio wa kukosa 5M Hadi 10M maana nilishafanya uchunguzi muda Sana pia...na Ni Tajiri MKUBWA Sana hapa Tanzania kiasi...
Heko kwa wakinga...jitihada zao zinaonekana kila siku
Kukopeshwa sio lazima ni hiyari ya mtoaji huo mkopo.. haukupaswa ku-mindKuna Mchagga Mmoja jirani Yangu na tunafanya Biashara wote nilimuazima Millioni Tano nimrudishie mwisho wa mwezi ..maana mzigo wangu ndo ulikua upo Bandarini unaingia...so nilitaka mzigo wa Bandarini Ukifika tu Dukani Tayari niwe nishaagiza mwingine....ili wateja wasikose Tena Mali...Alichonijibuu daah niliweka moyoni...na ninasali nae Jumuiya na kanisa moja piah ...so anamfaamu vizuri na Mimi nafaamu vizuri sio wa kukosa 5M Hadi 10M maana nilishafanya uchunguzi muda Sana pia...na Ni Tajiri MKUBWA Sana hapa Tanzania kiasi...
Heko kwa wakinga...jitihada zao zinaonekana kila siku
Huna tofauti na Kigwangala alivyokopa pikipiki kwa Mo, aliponyimwa alilalamika sana.Kuna Mchagga Mmoja jirani Yangu na tunafanya Biashara wote nilimuazima Millioni Tano nimrudishie mwisho wa mwezi ..maana mzigo wangu ndo ulikua upo Bandarini unaingia...so nilitaka mzigo wa Bandarini Ukifika tu Dukani Tayari niwe nishaagiza mwingine....ili wateja wasikose Tena Mali...Alichonijibuu daah niliweka moyoni...na ninasali nae Jumuiya na kanisa moja piah ...so anamfaamu vizuri na Mimi nafaamu vizuri sio wa kukosa 5M Hadi 10M maana nilishafanya uchunguzi muda Sana pia...na Ni Tajiri MKUBWA Sana hapa Tanzania kiasi...
Heko kwa wakinga...jitihada zao zinaonekana kila siku
Sasa mkuu huo muda wote uliopoteza kwenda kumfanyia jamaa uchunguzi kama ana Milioni tano au kumi si ungekuwa ushajaza fomu za mkopo Bank? Au ulikuwa unataka tu akunyime ukamchukulie busha la buku Bagamoyo?Kuna Mchagga Mmoja jirani Yangu na tunafanya Biashara wote nilimuazima Millioni Tano nimrudishie mwisho wa mwezi ..maana mzigo wangu ndo ulikua upo Bandarini unaingia...so nilitaka mzigo wa Bandarini Ukifika tu Dukani Tayari niwe nishaagiza mwingine....ili wateja wasikose Tena Mali...Alichonijibuu daah niliweka moyoni...na ninasali nae Jumuiya na kanisa moja piah ...so anamfaamu vizuri na Mimi nafaamu vizuri sio wa kukosa 5M Hadi 10M maana nilishafanya uchunguzi muda Sana pia...na Ni Tajiri MKUBWA Sana hapa Tanzania kiasi...
Heko kwa wakinga...jitihada zao zinaonekana kila siku
Ni kweli ila kuwafikia wachagga it is a long way to go... walishatangulia mbele kama miaka 20-30 hivi!!Nawaona ndugu zetu hawa wa jamii ya kikinga katika mikutano yao ya pamoja ya kimkakati juu ya jinsi gani watafanya biashara ambayo itawaletea utajirisho mkubwa katika vikao vyao mbalimbali sehemu mbalimbali hapa Kijini Dar es Salaam (Bungoni na Tabata) ndani ya mahoteli nadhifu sana na ya kisasa
Wana mifuko ya kusaidiana kimitaji wana kamati zenye upendo wa ajabu za kusaidiana katika kila hatua ya kibiashara na mengineyo mengi tu mazuri sana
Tukijia upande wa pili wa Ndugu zetu zetu Wachagga leo hii wamekuwa hawana umoja tena wa kusaidiana kibiashara kila mmoja anakufa kivyake umoja zaidi wameupeleka kwenye kuzikana na harusi
Huku kila mmoja akiuonyesha ufahari wake ya kwamba yeye ni nani hapa Dar es Salaam forensic za kibiashara wameziacha kila mmoja afe kivyake hakika hili ni anguko kuu kwa jamii hii iliyokuwa na wafanya biashara mashuhuri
Waha bado wapo stage ya kuuza alikasusu na kashata kama siyo kahawaHivi kwenye makabila wafanyabiashara na waha unawaweka hapo?