Mwakipande ni mjomba wake bilionea David Sanga aka Jah People ( MB )
Deo Sanga ana visa vingi mno, barabara ile hadi njombe ukiletewa visa vya akina jah na mwinuka ni balaa tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakipande ni mjomba wake bilionea David Sanga aka Jah People ( MB )
Nimecheka balaaUkiwa unaongea na wakurugenzi uwe na adabu.
Daah umenikumbusha mzee Mwaki,kuna kipindi nipo Ludewa napiga biashara kuna msela wangu Mkinga alikuwa ananishawishi 'nikanyooshe' mambo yangu kwa mzee Mwaki!!.Mwakipande anahusika sana kwenye utajiri wa wakinga!
Daah umenikumbusha mzee Mwaki,kuna kipindi nipo Ludewa napiga biashara kuna msela wangu Mkinga alikuwa ananishawishi 'nikanyooshe' mambo yangu kwa mzee Mwaki!!.
Nimecheka balaa
Inawezekana kabisa man!.Pale wewe kama sio mkinga unapewa famba tu utoe kelele, wakinga ndio hupewa vitu OG .
Kuna cha kujifunza hapaMbona alipigwa para usiku ule ule na maji ya kuoga alipelekewa mengi sana
Kwani brother,umepovuka??Jo umejawa na upuuzi mwingi sana ujue.. Yaani bila kuitaja CHADEMA huoni raha kabisa
Pole sana mkuu.Pia ni wezi kuna mmoja enzi za utafutaji alitoroka na pesa zote za mtaji wa mbao, ila nilikutana nae dodoma kachoka hasa
bila shaka ilikuwa biashara ya mbao, viazi, nguzo au mahindi maana hizo ndio biashara za ludewa.Daah umenikumbusha mzee Mwaki,kuna kipindi nipo Ludewa napiga biashara kuna msela wangu Mkinga alikuwa ananishawishi 'nikanyooshe' mambo yangu kwa mzee Mwaki!!.
Mapembelo vaveneZamani Kariakoo ilikuwa ya Wapemba na Wamanyema na Manzese ilikuwa ya Wachagga lakini sasa mambo yamebadilika huko kote wamejaa Wakinga watupu na maghorofa yao.
Kiukweli mnamuenzi vema mmoja wa waasisi wa Chadema mzee Tuntemeke Sanga RIP ambaye miaka yote aliishi hotelini pale Motel Agip jirani Azania Front posta.
Mapembelo wakinga wote!
Kufungia watoto... una maanisha niniwahehe wanafight,ila kufungia watoto ndio kitu kimewashinda.
Huyu jamaa alikuwa mwehu aisee, na mamlaka inamuangalia tu, nguo za poti halafu zimeandikwa uvccm
Ulitjibitishiwa kwa hati za umiliki?Zamani Kariakoo ilikuwa ya Wapemba na Wamanyema na Manzese ilikuwa ya Wachagga lakini sasa mambo yamebadilika huko kote wamejaa Wakinga watupu na maghorofa yao.
Kiukweli mnamuenzi vema mmoja wa waasisi wa Chadema mzee Tuntemeke Sanga RIP ambaye miaka yote aliishi hotelini pale Motel Agip jirani Azania Front posta.
Mapembelo wakinga wote!
Nyie vichaa wenzie mlikuwa mnasubiri nini kumkumbusha?Dogo alijisahau sana!