Wakinga acheni fujo Kariakoo kila ghorofa la " mkinga fulani" hakika Tuntemeke Sanga hakukosea kuiasisi Chadema ya Mabepari

Pale wewe kama sio mkinga unapewa famba tu utoe kelele, wakinga ndio hupewa vitu OG .
Inawezekana kabisa man!.
Hata hivyo nilichomoa nikaona bora nikomae tu kibishi na hasa ukizingatia stories za kipindi kile kwamba ili utoboe inabidi umtangulize mzazi au ndugu yako wa karibu sana!!!.
 
Wakinga utumia kanuni sahihi za utajiri ambayo yeyeto akitumia huwa.wafanyacho wakinga ndicho wafanyacho weupe kuwafanikwa.
Ingekuwa uchawi unaleta utajiri waafrika wasingekuwa masikini
 
Daah umenikumbusha mzee Mwaki,kuna kipindi nipo Ludewa napiga biashara kuna msela wangu Mkinga alikuwa ananishawishi 'nikanyooshe' mambo yangu kwa mzee Mwaki!!.
bila shaka ilikuwa biashara ya mbao, viazi, nguzo au mahindi maana hizo ndio biashara za ludewa.
 
Zamani Kariakoo ilikuwa ya Wapemba na Wamanyema na Manzese ilikuwa ya Wachagga lakini sasa mambo yamebadilika huko kote wamejaa Wakinga watupu na maghorofa yao.

Kiukweli mnamuenzi vema mmoja wa waasisi wa Chadema mzee Tuntemeke Sanga RIP ambaye miaka yote aliishi hotelini pale Motel Agip jirani Azania Front posta.

Mapembelo wakinga wote!
Mapembelo vavene
 
Zamani Kariakoo ilikuwa ya Wapemba na Wamanyema na Manzese ilikuwa ya Wachagga lakini sasa mambo yamebadilika huko kote wamejaa Wakinga watupu na maghorofa yao.

Kiukweli mnamuenzi vema mmoja wa waasisi wa Chadema mzee Tuntemeke Sanga RIP ambaye miaka yote aliishi hotelini pale Motel Agip jirani Azania Front posta.

Mapembelo wakinga wote!
Ulitjibitishiwa kwa hati za umiliki?
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom