Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,403
- 14,160
Wanaumia kuona wengine wanakuja juu. Wanadhani wao wenyewe ndio Wana akili. Wakijua kila siku ni jumapili. Walisingizia kwao wamesoma ndo Mana wamejazana.serikalini hakupewa wizara hata moja wakamaindi Mana walidhani ni wao watasoma mileleSi wangeisha wote.au misiba Ingekuwa daily