Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
du,hii kali!Mie siwapendi wote wifi plus mama mkwe bahati nzuri sina
du,hii kali!Mie siwapendi wote wifi plus mama mkwe bahati nzuri sina
wapende bure tu dadaMie siwapendi wote wifi plus mama mkwe bahati nzuri sina
a.k.a timbwili la asha ngedere,remember ze komedi?Kutimbana ???? Nipe maana ya hilo neno kabla sijaanza kuchangia.
Napenda mume wangu anavyowaziba midomo hawa wenye vimbelembele! hawana nafasi hata kidogo ya kuninyanyasa. Mwanaume anatakiwa awe na msimamo wake mke na mama kila mtu awe na haki yake kwake kwa wakati wake