CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Nadhani hujaelewa msingi wa mada....si kwamba wanawake wanalaumiwa la hasha bali wanashauriwa kuwa breki kwenye midomo yao.....kuna baadhi ya kauli zinaweza kukusababishia mabalaa kwani zinachoma mno....chungeni midomo yenu.....
Hivi huwa mnadhani sisi tuna mioyo ya chuma ama sisi sio binadamu wenye hisia??? Nanyi muwe na break na uchafu wenu...