Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Shem wako yupo mbali kwelikweliWewe zima data ushikilie mauno ya shemela mbn upo online badoo
Shem wako yupo mbali kwelikweliWewe zima data ushikilie mauno ya shemela mbn upo online badoo
Embu nifungulie basi mpenzi mbona unanifanyia hivi.Hii Maana yake ni kwamba!??
Embu nifungulie basi mpenzi mbona unanifanyia hivi.
Udifunge mkuu ni vibaya hivyoNielekeze
Khaaaa tuwaombe mods Uzi maalumu wa kumtaja member aliyefunga pm afungue....
Na kuna wakaka pia wamefunga PM
Mfungue na nyie!.
Eeh karbu ujifinze..Huko unafundisha watu mgambo au?
Ila kidogo me nawapongeza mnaofunga pm zenu jaman maana naomba ieleweke sio wadada wote wa humu jf wapo single. Sasa wakina wanaacha milango wazi kwa kila mtu mnatukaribishia Competition aisee
NB:Mama watoto chonde chonde funga hivyo hivyo unanijua vizuri sitaki mambo ya shetani alinipitia
Mambo.Naomba unielekeze jinsi ya kufunga PM please.Sema pm kuna vituko sana.
Tatizo huku mtu anakuja pm usipomjibu anakutukana.
Wakati mwingine kuliko ugombane na mtu bora ujifungie zako tu.
Yangu inakaaga wazi upumbavu ukizidi naifunga
Pole maa. Nimeshasahau hata jinsi ya kufunga huwezi amini. We iache wazi wakija wajinga wajinga usiwajibu ndo dawa. Mi yangu iko wazi mwaka wa 3 sijui ila nachagua wa kujibu.Mambo.Naomba unielekeze jinsi ya kufunga PM please.
Wewe ni ki ke ao meTatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.
Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Jamani aiache wazi tenaPole maa. Nimeshasahau hata jinsi ya kufunga huwezi amini. We iache wazi wakija wajinga wajinga usiwajibu ndo dawa. Mi yangu iko wazi mwaka wa 3 sijui ila nachagua wa kujibu.
Eeeh. Kujibu ni maamuzi. Mi nimetukanwa sana humu yani na wanaume. Wengine usipojibu pm anakuja kukumalizia hasira jukwaani, mwingine anakuandikia akichoka anakutukana huko huko pm. Mwanzoni walikua wananishughulisha. Sasa hivi sijali yani mtu aandike mpaka aandike tena sijisikii kujibu sijibu hata atukane simjibu ng'ooJamani aiache wazi tena