Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,399
Sijafunga mm jaman
Unawaingiza king eeeeh yaani wewe hujafunga pm????
Unawaingiza king eeeeh yaani wewe hujafunga pm????
Sijafunga mm jaman
Lol najinyonga
Yani unaomba safari hapo hapo unanichanganya ?
KamtaalamMwombe kwenye thread unazomuona kuwa unaomba akufungulie pm.
Akiona unafaa atakufungulia.
Yani unaomba safari hapo hapo unanichanganya ?
Ukifika si ndiyo utaniua kabisa?
Mimi ukiniona nimekujibu tu ujue PM yangu iko open, kuna "flat earth society" fulani nimewapiga ban, hao hata wanachoandika sikioni, labda hao ndio hawawezi kunitumia message.Bila kumsahau Kiranga nataka nije tule pension hiyo mbaba fungua PM.
Huku unafika tu, tunahitaji models zaidi wa Kitanzania!Siwez kukuua aliniuliza eti nitafikaje huko ndio nikajibu hahahahah
Mimi ukiniona nimekujibu tu ujue PM yangu iko open, kuna "flat earth society" fulani nimewapiga ban, hao hata wanachoandika sikioni, labda hao ndio hawawezi kunitumia message.
Mwanamme anayelazimisha ufungue PM hakawii kulazimisha ufungue chupi.
That's thirsty and shady.
Huku unafika tu, tunahitaji models zaidi wa Kitanzania!
Tunapambana ivo ivohuyo mr troublemaker vipi unavumilia toubles zake kweli?
Toka niingie humu sijajua panafikika vipimmh haya sakayo. na wewe pm vp, umefunga?
my love!!Kamtaalam
Darlingmy love!!
Naombeni kuelekezwa nataka kufunga pm rasmi
NielekezeNipo mamy