Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Hahaha kwani nikuzimikia I'd tu pekee huko huwa watu Wana Tiana genye kwa kutumiana mapicha picha. ...

Sasa waweza kuta umenitumia picha halafu nikakuta mtoto una ng'aa kama mbala mwezi. ..Hapo sasa lazima nitaingia maharibuni tu ..nikikuacha hata kuku watanicheka. .... so ili kujiepusha na yote hayo ndio maana huwa na amua kupiga kufuli
Hahahaha bro
 
Walivokuwa washamba washamba Pm ilikuwa wazi,,

Baada ya kutongozwa na wengine kuliwa na hatimaye na zile screenshoot kuwekwa hapa na baadhi ya mabaharia ndio wakastuka kwamba wameliwa na kuanikwa hadharani, wakaamua kupiga lock,,

Ukiona kafunga PM yameshamkuta ya kumkuta
Aise
 
Huhuuuu
Walivokuwa washamba washamba Pm ilikuwa wazi,,

Baada ya kutongozwa na wengine kuliwa na hatimaye na zile screenshoot kuwekwa hapa na baadhi ya mabaharia ndio wakastuka kwamba wameliwa na kuanikwa hadharani, wakaamua kupiga lock,,

Ukiona kafunga PM yameshamkuta ya kumkuta
 
Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.

Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Dah!
 
Tena hawa wafungua nyuzi za kuomba kufunguliwa pm ndio mafurushi kabisa. Sijui hata vichwani mwao huwa wanawaza nini, maana vitu wanavyoandika ni ishara tosha la ombwe lililopo vichwani mwao

Ni vyema na heri zifungwe tu hizo pm.
Hahahahaaa.
 
Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.

Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
hahaha !! Niko Ihumwa Pasikuzotee karibu Manofu
 
Back
Top Bottom