Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.

Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Nipo dodoma naomba niku pm tukajirushe viwanja
 
Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.

Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Unawaingiza king eeeeh yaani wewe hujafunga pm????
 
Unakuta yuko single/ mother,huko mtaani Hana soko, kabisa huku Kuna vijana wasiotumia vumbi la kongo a.k.a mundende ya papaaa bana kongo anafunga pm alafu akifika 35+ hajaolewa anaseama kalogwa ooh kila mtu ana bahati zake wakati pm mmefunga na mnachangua wenye magar wakati baako hata baiskel ya kukodi hajawah kukodi
Baba hii ndio tunaita povu la kiwango gani !???
 
Walivokuwa washamba washamba Pm ilikuwa wazi,,

Baada ya kutongozwa na wengine kuliwa na hatimaye na zile screenshoot kuwekwa hapa na baadhi ya mabaharia ndio wakastuka kwamba wameliwa na kuanikwa hadharani, wakaamua kupiga lock,,

Ukiona kafunga PM yameshamkuta ya kumkuta
 
Walivokuwa washamba washamba Pm ilikuwa wazi,,

Baada ya kutongozwa na wengine kuliwa na hatimaye na zile screenshoot kuwekwa hapa na baadhi ya mabaharia ndio wakastuka kwamba wameliwa na kuanikwa hadharani, wakaamua kupiga lock,,

Ukiona kafunga PM yameshamkuta ya kumkuta
Mkuuu umegusa mioyo ya watu papuchi imeliwaa vibaya mno na kale kananii kapewa
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom