Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Hello..! warembo wa humu.

Unakuta umeuelewa hata mwandiko wa mdada unamfata pm mbadilishane hata mawazo unakuta kafunga pm. Aaaaarrrghh....
Msitufungie huko pm basi.


Uzi tayari.
😂 😂 😂 fanya kumtaja aliyefunga au unataka kuunda group?
 
Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.

Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Leo Eid upate wa kukupeleka Rainbow😂
 
Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.

Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.

Itakuwa nyege ya hela hiyo siyo bure Demiss
 
Back
Top Bottom