Ukiistudy vizuri hiyo video utagundua kuwa tofauti ya muda toka wale wadada wezi walipoondoka na kutokuonekana kwenye kamera hadi huyo mdada muuzaji alipogundua kuwa kaibiwa ni less than one minute. nachojiuliza walishindwaje kuwaona ukichukulia ukubwa(urefu) wa korido za mlimani city?. Kwa bongo inawezekana hata huyo muuzaji naye ni patna wao - ila walikuwa wanaekti for cameras kuuwa ushahidi. Hii ni intalijensia yangu tu
Siku zote tunafikiri Wanaume ndio wenye utaalamu wa kuiba. Mtu huwezi kufikiria kabisa kama huyu mama na jinsi alivyo smart anaweza kuwa mwizi tena mbele ya macho ya watu wengine.
Ina maana usawa mlioenda kuutafuta BEIJING ndio huu!!!!!!!!!!!!
Kwa jinsi nilivyoiangalia hii movie ni kwamba inaonyesha ni "Promotion Acting" ya hawa wanaouza CAMERAS. Kwani yule dada alipovuta kile kibox ni kwamba makaratasi yakaanguka, na pia yule muhudumu hakuwa mbali, ina maana lishindwa kugundua kuwa kuna kitu kimeanguka???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.