Micro IQ
Member
- May 13, 2018
- 73
- 122
inshort katika kitu kina kela kwa kina dada wengi wa kibongo basi ni hayo mambo yao ya kiswahili swahili.
Utakuta mtu ni mpenzi wako na una nia nae kabisa lakini bado anakuwa na zile itikadi za kiswazi maneno mengi lakini hakuna ukweli kabisa
Kwa nini usiwe Real tu mtu unakuta anahudumia vizuri lakini likija swala labda la kumeet basi anakubali lakini nyuma ya pazia anaanza mizungusho kibao mpaka anaboa.
Yaani katika kitu mnakosea wakina dada basi ni hicho mtu kama hauna nafasi maybe ya kumeet unasema mapema kuliko unamtia mtu moyo mwisho wa siku unazingua kibishi.
Gharama za huduma tunazowapa ni kubwa sana basi tu hatuna jinsi ila laiti mngejua hizo gharama mtu kama angekuwa anahitaji kupata Ngono tu Asingeweza kushindwa kwa sababu kuna wengi tu watoa huduma.
Yaani ingekuwa hivi mtu akiwa na hamu basi anaingia zake chimbo anachukua mmoja anapiga akimaliza anampa stahiki yake mpaka siku nyingine tena akiwa na hamu anatafuta mwingine.
Ukiona mpaka mtu anakuhudumia basi jua wazi anakupenda cha kufanya acha hizo danganya danganya toto zako mwisho wa siku upate kuolewa.
Unavyojifanya na kujiona mjanja wa kula vya wanaume basi jua Unapishana na Gari ya mshahara ukija kushituka wenzio wote wameolewa umebaki wewe tu na vitoto ulivyozalishwa kila mtu na baba yake na kuachwa kuwa single mother wa maisha .
Utakuta mtu ni mpenzi wako na una nia nae kabisa lakini bado anakuwa na zile itikadi za kiswazi maneno mengi lakini hakuna ukweli kabisa
Kwa nini usiwe Real tu mtu unakuta anahudumia vizuri lakini likija swala labda la kumeet basi anakubali lakini nyuma ya pazia anaanza mizungusho kibao mpaka anaboa.
Yaani katika kitu mnakosea wakina dada basi ni hicho mtu kama hauna nafasi maybe ya kumeet unasema mapema kuliko unamtia mtu moyo mwisho wa siku unazingua kibishi.
Gharama za huduma tunazowapa ni kubwa sana basi tu hatuna jinsi ila laiti mngejua hizo gharama mtu kama angekuwa anahitaji kupata Ngono tu Asingeweza kushindwa kwa sababu kuna wengi tu watoa huduma.
Yaani ingekuwa hivi mtu akiwa na hamu basi anaingia zake chimbo anachukua mmoja anapiga akimaliza anampa stahiki yake mpaka siku nyingine tena akiwa na hamu anatafuta mwingine.
Ukiona mpaka mtu anakuhudumia basi jua wazi anakupenda cha kufanya acha hizo danganya danganya toto zako mwisho wa siku upate kuolewa.
Unavyojifanya na kujiona mjanja wa kula vya wanaume basi jua Unapishana na Gari ya mshahara ukija kushituka wenzio wote wameolewa umebaki wewe tu na vitoto ulivyozalishwa kila mtu na baba yake na kuachwa kuwa single mother wa maisha .