ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,531
- 44,642
Wengi wao NI kutoka Bangladesh,Tunisia na misri.zaidi ya wahamiaji 1200 wamefariki katika bahari ya Mediterranean mwaka huu..Kuna ongezeko la idadi 84% ya wakimbizi kulinganisha na mwaka Jana..kutoka 2014 mpaka Sasa zaidi ya wahamiaji haramu 12000 wamefariki kutokana na boti wanazopanda kuelemewa na watu..mpaka Sasa zaidi ya wakimbizi 114000 wamekwisha vuka kuingia ulaya toka mwaka 2014.