Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

Utetezi kama huu ndo unawafanya mdharaulike mnakuwa na mahaba kupita kiasi unajua hata muuaji anahaki zake za privacy
Mahaba gani kenge wewe
..Bashite ,Sabaya,Musiba n.k walikuwa wakatili kama baba yawo Kidevu....Shameless murders
 
Nilikuwepo mkuu
Huwa sikosi mambo ya msingi

Wamebadilikaje?
Kuku akikoswa koswa kudakwa na mwewe hulia kwa uchungu sana kuomboleza tukio, halafu hujirekebisha hajianiki kizembe tena, kisha huishia kula sana kwa njia ya kuchakura chakura ili kurejesha furaha yake.

Nilitolea mfano wa Roma mkatoliki, alivyotekwa na kuachiwa, wananzengo wakamuulizia sana 'sanga' alilokumbana nalo huko alikopelekwa, waalah hakusema na wala hatakuja sema, ni mkataba wa kiapo ambacho hawezi kuja kuuvunja.

Haya tuje na staff wa Jf Max, tangia aburuzwe mahakamani, ule uhuru wetu members wa ku"talk openly" umefinywa, members ku'ban'kwa bila onyo ama kubadilishiwa headings ama jukwaa bila kupewa angalizo!

Yote hayo ni woga wa kutii mamlaka bila shurti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa.

Hilo limethibitishwa leo na Wakili Msomi Fred Kapara, ambaye ni Wakili wa Kampuni ya Tigo, alipoulizwa Mahakamani wakati akitoa ushahidi katika kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake wanne, kwamba kati ya Utii kwa mamlaka na Usiri wa taarifa za wateja kipaumbele kwao ni nini, bila kupepesa macho akajibu Utii (Compliance) kwao ndiyo kipaumbele (Priority) zaidi.

Sasa majibu ya kwanini kumekuwepo na uzimaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii na kupanda mara dufu kwa gharama za bando za data yameshapatikana. Sababu kubwa ni kwamba huko kwenye hizo social networks zingine kwao Privacy za Wateja ndiyo Priority hivyo mamlaka zitashindwa kupata kile wanakitaka kwa urahisi.

Hii kesi mpaka waje wamalizike mashahidi wote 24 tutakuwa tumeshapata siri nyingi sana ambazo raia wa kawaida tulikuwa tunafichwa.

View attachment 1996391

Ushahidi wote, soma Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021
Ingekuwa vizuri hii issue ikatolewa uamuzi na mahakama kwa 'aggrieved persons' kufungua kesi dhidi ya tigo.
 
Hii kampuni ingekuwa ulaya nahisi mpaka muda huu ingeporomoka kiuchumi vibaya Sana. Nahisi hii kesi itazidi kutoa Siri nyingi Sana ni Bora mashahidi wangekuwa wachache kuliko kuleta ujinga mahakamani [/QUOTE
hata ulaya magaidi kampuni za simu hutoa siri zao
 
Kuku akikoswa koswa kudakwa na mwewe hulia kwa uchungu sana kuomboleza tukio, halafu hujirekebisha hajianiki kizembe tena, kisha huishia kula sana kwa njia ya kuchakura chakura ili kurejesha furaha yake.

Nilitolea mfano wa Roma mkatoliki, alivyotekwa na kuachiwa, wananzengo wakamuulizia sana 'sanga' alilokumbana nalo huko alikopelekwa, waalah hakusema na wala hatakuja sema, ni mkataba wa kiapo ambacho hawezi kuja kuuvunja.

Haya tuje na staff wa Jf Max, tangia aburuzwe mahakamani, ule uhuru wetu members wa ku"talk openly" umefinywa, members ku'ban'kwa bila onyo ama kubadilishiwa headings ama jukwaa bila kupewa angalizo!

Yote hayo ni woga wa kutii mamlaka bila shurti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee... hapa kwa jf hadi nimecheka...kwel kabisaa..saiz ukiandika case sensitive basi mods wanafyeka uzi haraka sana
 
Aisee... hapa kwa jf hadi nimecheka...kwel kabisaa..saiz ukiandika case sensitive basi mods wanafyeka uzi haraka sana
Ni wajinga tu watakao ilaumi tigo.
Issue ni kwamba wanatoa nyaraka au taarifa za mteja kwa mujibu wa sheria.

Fungueni mitandao yenu ya simu hapa bongo muone kama mtatunisha ubavu.
 
Ni wajinga tu watakao ilaumi tigo.
Issue ni kwamba wanatoa nyaraka au taarifa za mteja kwa mujibu wa sheria.

Fungueni mitandao yenu ya simu hapa bongo muone kama mtatunisha ubavu.
Sheria inasemaje?
Sheria ipi inasema mteja hana haki ya faragha?
 
mbona hamuelewi wakuuu??? kuombwa sio tatzo!! si kuna utaratibu wa kuomba hizo taarifa? shiida hapo ni kuwa utaratibu wa kuomba hizo taarifa za mteja hazifuatwa! mbaya zaidi hyo barua hata boss zake jamaa hawapitisha sasa itaaminikaje??? maana kila kitu kafanya yeye
Kuna watu kazi yao ni kupiga makofi
Hata uwaeleweshe vipi hawawezi kukuelewa maana akili zao ziko kwenye ushabiki wa chama.

Yani wao wanachoamini

1.Polisi hakosei
2.Serikali haikosei
3.Kuikosoa serikali ni jinai
4.Ukiwa Mtanzania kama sio msukule wa ccm, wewe ni mhalifu.
6.Uzalendo ni kuipenda ccm hata waseme wanachi wote wauwawe wataunga mkono.

Unawezaje kumwelewesha mtu wa namna hii akaelewa?
 
Back
Top Bottom