Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Wakuu wa kazi naomba mnifahamishe gharama za kulipa wakili wa mtu binafsi ni shilingi ngapi.
Nakaribisha michango yenu.
ASANTE
Nakaribisha michango yenu.
ASANTE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ninahitaji mkuu ndio maana nikataka nijue inakuaje kuaje ili uwe na wakili binafsi.Unahisi unahitaji mwanasheria? nadhani hakuna bei elekezi,inadhani inategemea na wewe ni mtu wa shughuli gani.
kama wewe ni jambazi bei itakuwa kubwa,sababu utakuwa na kesi nyingi
Kama hujaoa tafuta mke ambaye ni mwanasheria. Hapo gharama ni bure ila jiandae kwa vimbwanga ndani ya nyumba (kama atakua hajielewi).Wakuu wa kazi naomba mnifahamishe garama za kulipa wakili wa mtu binafsi ni shilingi ngapi.
Nakaribisha michango yenu.
ASANTE
😁😁😁😊😊😊!Unahisi unahitaji mwanasheria? nadhani hakuna bei elekezi,inadhani inategemea na wewe ni mtu wa shughuli gani...
hahahah dah mwanangu umenichekeshaKama hujaoa tafuta mke ambaye ni mwanasheria. Hapo gharama ni bure ila jiandae kwa vimbwanga ndani ya nyumba (kama atakua hajielewi).
Kama hujaoa tafuta mke ambaye ni mwanasheria. Hapo gharama ni bure ila jiandae kwa vimbwanga ndani ya nyumba (kama atakua hajielewi).
Unahisi unahitaji mwanasheria? nadhani hakuna bei elekezi,inadhani inategemea na wewe ni mtu wa shughuli gani.
kama wewe ni jambazi bei itakuwa kubwa,sababu utakuwa na kesi nyingi
Kimsingi huwa nimakubaliano tu na aina ya kazi Kuna mkataba mnaingia baina ya lawyer na weweWakuu wa kazi naomba mnifahamishe garama za kulipa wakili wa mtu binafsi ni shilingi ngapi.
Nakaribisha michango yenu.
ASANTE