Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Hapa kuna jambo limejificha.jirani unaniwekea maneno
Ona..'wale watoto,mashahidi,mapolisi,madaktari,mahakim,majaji na mawakili..'
Hapa kuna jambo limejificha.jirani unaniwekea maneno
Ona..'wale watoto,mashahidi,mapolisi,madaktari,mahakim,majaji na mawakili..'
Bandalin wapi, Mongolia?!Kwa hiyo pele bandalin alikuwa anaudanganya umma?
Alisema mwenyewe akiwa na frustration anafanya mambo bila kujijua,sasa mwenyekiti wenu mnamshangilia kama mazuzu akiwa frustrated nanyi mtakuwa insane hamjitambuiBavicha shida sana, hamueleweki. Aliposema yule fisadi wenu mlishangilia, Magu ametenda unakebehi eti frustration.
Hata kamanda Marando anashangilia.Alisema mwenyewe akiwa na frustration anafanya mambo bila kujijua,sasa mwenyekiti wenu mnamshangilia kama mazuzu akiwa frustrated nanyi mtakuwa insane hamjitambui
Hawakumbaka mtu..Huyu wakili yuko wapi siku hizi?
Wanafunzi wakibakwa wakipata mimba jswaruhusiwi kurudi shule
Ila wabakaji wanarudi mtaani na kushangiliwa
Katika sheria kuna ukweli na ushahidiKwakweli ni aibu kubwa mno kama taifa kushangilia wabakaji na walawiti kuwa huru!
Acha unaaMagufuli alikuwa na frastruation zake hapo.
Did you ever attend a grammar school?Is totally mess it up with our judiciary systems...kuna rapists wangapi in behind the bars kwanini asi wa pardon na Hao???.. Silly Game
Una uhakika gani kama walibaka?
Waliobakwa na seya walipata mimba?Huyu wakili yuko wapi siku hizi?
Wanafunzi wakibakwa wakipata mimba jswaruhusiwi kurudi shule
Ila wabakaji wanarudi mtaani na kushangiliwa
Uwe na Akiba yamanenoHuyu wakili yuko wapi siku hizi?
Wanafunzi wakibakwa wakipata mimba jswaruhusiwi kurudi shule
Ila wabakaji wanarudi mtaani na kushangiliwa
Acha uboya wewe MTU ametumikia TiSS alafu eti useme kuwa hakupata taarifa as if Rais aliyangazia chumbani msahama. Mabere ni jasusi mmbobezi na ajanua vema kuchambua taarifa.Wakili Mabere Marando aliyekuwa akimtetea mwanamuziki mkongwe nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, amesema uamuzi wa Rais John Magufuli kuwasamehe umekuwa ni ‘surprise’ (jambo la kushtukiza) kwake.
Babu Seya na Papii Kocha ambaye pia ni maarufu kama Mtoto wa Mfalme walikuwa wakitumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kuwabaka na kuwalawiti watoto 10 wa kike ambao walikuwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza Dar es Salaam.
Tayari walishatumikia kifungo hicho kwa miaka 13 na miezi minne.
Wakili Marando ambaye aliwatetea katika rufaa yao ya pili Mahakama ya Rufani alisema uamuzi wa Rais Magufuli umemshangaza na ameupokea kwa furaha kubwa.
Marando ambaye alifanikiwa kuwatoa kifungoni watoto wawili wa Babu Seya, Mbangu na Francis katika rufaa hiyo alisema hakutarajia uamuzi kama huo.
“Asante sana, asante sana, asante sana, namshukru sana Rais Magufuli kuwasamehe, kwa kweli sikutarajia hili. Hii imekuwa ni surpirise, asante sana,” alisema Wakili Marando ambaye alikuwa hajapata taarifa za uamuzi huo hadi alipoulizwa na mwandishi wetu.
View attachment 647675
Bandalin wapi, Mongolia?!
HahahahahaMagufuli alikuwa na frastruation zake hapo.
Upo sahihi kabisa..Katika sheria kuna ukweli na ushahidi
Hivi mahakamani kuu na Rufaa kote walishinikizwa kufanya maamuzi? Labda Wakili wao Marando atakuja kusimulia Siku moja kama maadili ya uwakili yanaruhusu. Ukweli unatakiwa ujulikane ili watz waelewe kuwa Kuna Watu wabaya wanaoweza kutumia madaraka yao vibaya kiasi Cha kukufufunga mtu miaka yote hiyo pasipokuwa na jinai.Una uhakika gani kama walibaka?