Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,516
- Thread starter
- #41
Mawakili wote ni Wasomi. Kila Wakili ni Wakili MsomiNje ya mada, hivi kuna wakili msomi na ambaye sio msomi? Kama ndivyo, unaweza kutupa tofauti zao mkuu?
Mawakili wote ni Wasomi. Kila Wakili ni Wakili MsomiNje ya mada, hivi kuna wakili msomi na ambaye sio msomi? Kama ndivyo, unaweza kutupa tofauti zao mkuu?
Kwanini Lissu amezungumzia suala la usalama jana ikiwa IGP alishalitolea ufafanuzi?Soma hii:
Sirro: Lissu atahakikishiwa usalama wake atakaporejea nyumbani
Amesemei kurejea kwake kutakasaidia kukamilisha upelelezi na kufahahamu waliohusika na shambuli lake. Kamanda Sirro amesema kurejea kwa Lissu kutasaidia kukamilisha uchunguzi na kufahamu waliohusika na shambulio lake. Akizungumza na Nipashe jana, Sirro alisema kama raia wengine wa Tanzania...www.jamiiforums.com
Damu Nzito Kuliko Maji.Hua unahangaika sana na Lissu mkuu,sijui tatizo nini?
Wewe umesema Polisi hawawezi kumlinda Lissu yeye kama yeye(as an individual), hivyo nikaona nikukumbushe kuwa Polisi kupitia IGP Sirro, walishasema watamuhakikishia usalama wake ingawa hatuwaamini.Kwanini Lissu amezungumzia suala la usalama jana ikiwa IGP alishalitolea ufafanuzi?
Mawakili wote ni Wasomi. Kila Wakili ni Wakili Msomi
Hao ndio anaowaogopa ........wanaweza kumalizia walipoishia!Chama chake, kama watahakikisha wanamuwekea ulinzi wa kutosha hasa vijana wa redi brigedi
Sasa nini mantiki ya kuongezea neno msomi kwenye jina wakili? Kwahiyo taaluma zingine watu hawasomi? Yaani najiuliza tu eti tusikie 'daktari msomi fulani bin fulani, mhandisi msomi fulani binti fulani'. Mbona vituko!Mawakili wote ni Wasomi. Kila Wakili ni Wakili Msomi
I conquered with your argument. Lakini TL yeye amesema chama kmhakkishie usalama na si serikali. Lisu anajua uhai wake upo ndani ya Chama. Kwa tafsiri ya kawaida ya kusema chama kimhakikishie usalama basi Lisu huenda anamashaka na chama chake. Inawezekana kuna mazingira ambayo Lisu anayaunganisha tukio na chama. Asingekuwa anatilia shaka chama basi angeema serikali imhakikishie usalama.Nimejipa muda kutafakari kauli ya Wakili Msomi mwenzangu na Mwanasiasa Tundu Antipas Mughwai Lissu kuhusu 'kuhakikishiwa' usalama wake ili arejee nchini kufuatia kumaliza matibabu yake nchini Ubelgiji. Akihojiwa na Mtangazaji Mwandamizi wa Sauti ya Amerika, Mwamoyo Hamza, Lissu amesema kuwa ameshamaliza matibabu yake na atarejea Tanzania yetu atakapohakikishiwa usalama wake.
Nikiri kuwa Wakili Msomi Tundu Lissu ana hoja kuhusu usalama wake ikizingatiwa shambulio la kupigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma Septemba 7 mwaka 2017. Shambulio lile, kwa vyovyote vile, limeacha majeraha ya kutosha kwenye mwili na roho ya mwanasiasa huyu machachari wa Tanzania kupitia CHADEMA. Tukio lake litachukua muda wa kutosha kusahaulika kwake kwakuwa yeye tu ndiye mwenye picha na taswira ya kuogofya ya tukio husika kwa muda na mahali pale.
Lissu, kama alivyo binaadamu yeyote, yuko sahihi kutanguliza usalama kuliko kazi, tasnia au harakati zake za kisiasa. Hata kula na kulala hunoga pale ambapo usalama unapokuwepo. Hivyobasi, ni vigumu kubishana na hoja yake ya usalama wake na hoja yake ya kutaka kuhakikishiwa usalama huo ili aweze kurejea nchini. Ametoa na mifano ya vitisho juu ya usalama wake atakaporejea nchini. Kimsingi, ana hoja ya maana sana kwakuwa usalama huanza.
Lakini, nani hasa wa kumhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurejea nchini? Inajulikana kuwa jukumu la usalama wa raia na mali zao ni jukumu la Serikali kupitia vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama. Kila kunapokucha, Serikali hutimiza wajibu huo ingawa wahalifu wa makosa mbalimbali na uhalfu hutokea kwakuwa uhalifu huo hufanyika ima gizani au ghafla. Hakuna nchi ulimwenguni ambapo hakuna matukio ya kihalifu pamoja na uwepo wa Serikali na vyombo vyake.
Serikali, kadiri nijuavyo, haina wajibu wa kumhakikishia mtu mmoja usalama wake kuliko wengine. Usalama wa raia wote na mali zao zote hutazamwa kwa pamoja. Na hakika, Serikali iko makini katika hilo kwakuwa matunda ya kuwepo kwa amani na utulivu tunayafaidi kila kukicha. Naamini,haitakuwa rahisi kwa Serikali 'kumhakikishia' usalama wake Lissu ili arejee nchini. Usalama wa raia wote daima upo na unasimamiwa na Serikali.
Nani anayebaki ambaye ataweza kumhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurejea Tanzania?
I conquered with your argument. Lakini TL yeye amesema chama kmhakkishie usalama na si serikali. Lisu anajua uhai wake upo ndani ya Chama. Kwa tafsiri ya kawaida ya kusema chama kimhakikishie usalama basi Lisu huenda anamashaka na chama chake. Inawezekana kuna mazingira ambayo Lisu anayaunganisha tukio na chama. Asingekuwa anatilia shaka chama basi angeema serikali imhakikishie usalama.
Nitarejea MkuuPetro E. Mselewa ,
..wachangiaji mbalimbali walikuwa wanauliza kuhusu hatima ya wadhamini wa TL ktk kesi zake.
..sheria inasemaje kuhusu mshitakiwa ambaye ameshindwa kufika mahakamani, baada kukimbia kutokana na shambulizi dhidi yake kama ilivyotokea kwa TL?
cc Gagnija, Pascal Mayalla
Katiba ya nchi inasema ulinzi wa Taifa ni wa raia yeyote, lakini ulinzi wa Raia na mali zake ni jeshi la polisi. Jeshi la polisi ni serikali, chaka hakijatajwa kama kinaweza kumhakikishia mtu ulinzi. Alichofanya Lisu kwa mtazamo wangu ni kuwa anamashaka na chama ndiyo maana anasema wamhakikishie ulizi...inawezekana pia anakiamini chama chake kuliko serikali.
..serikali ndiyo yenye vyombo vya kumhakikishia usalama, sasa kwanini TL hawasiliani na serikali badala yake anawasiliana na chama chake kuhusu usalama?
Lissu asitubabaishe. Yeye ni Mtanzania kama wengine. Yeye ana bahati alishambuliwa na akapona. Kuna wengine walifariki. Lakini hiyo haiondoi jukumu la serikali la kumlinda kila raia kwa usawa. Jinsi Lissu atavyohakikishiwa usalama wake ni sawa sawa na mimi tu ninavyohakikishiwa usalama wangu. Asilete exaggerations hapa!Nimejipa muda kutafakari kauli ya Wakili Msomi mwenzangu na Mwanasiasa Tundu Antipas Mughwai Lissu kuhusu 'kuhakikishiwa' usalama wake ili arejee nchini kufuatia kumaliza matibabu yake nchini Ubelgiji. Akihojiwa na Mtangazaji Mwandamizi wa Sauti ya Amerika, Mwamoyo Hamza, Lissu amesema kuwa ameshamaliza matibabu yake na atarejea Tanzania yetu atakapohakikishiwa usalama wake.
Nikiri kuwa Wakili Msomi Tundu Lissu ana hoja kuhusu usalama wake ikizingatiwa shambulio la kupigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma Septemba 7 mwaka 2017. Shambulio lile, kwa vyovyote vile, limeacha majeraha ya kutosha kwenye mwili na roho ya mwanasiasa huyu machachari wa Tanzania kupitia CHADEMA. Tukio lake litachukua muda wa kutosha kusahaulika kwake kwakuwa yeye tu ndiye mwenye picha na taswira ya kuogofya ya tukio husika kwa muda na mahali pale.
Lissu, kama alivyo binaadamu yeyote, yuko sahihi kutanguliza usalama kuliko kazi, tasnia au harakati zake za kisiasa. Hata kula na kulala hunoga pale ambapo usalama unapokuwepo. Hivyobasi, ni vigumu kubishana na hoja yake ya usalama wake na hoja yake ya kutaka kuhakikishiwa usalama huo ili aweze kurejea nchini. Ametoa na mifano ya vitisho juu ya usalama wake atakaporejea nchini. Kimsingi, ana hoja ya maana sana kwakuwa usalama huanza.
Lakini, nani hasa wa kumhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurejea nchini? Inajulikana kuwa jukumu la usalama wa raia na mali zao ni jukumu la Serikali kupitia vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama. Kila kunapokucha, Serikali hutimiza wajibu huo ingawa wahalifu wa makosa mbalimbali na uhalfu hutokea kwakuwa uhalifu huo hufanyika ima gizani au ghafla. Hakuna nchi ulimwenguni ambapo hakuna matukio ya kihalifu pamoja na uwepo wa Serikali na vyombo vyake.
Serikali, kadiri nijuavyo, haina wajibu wa kumhakikishia mtu mmoja usalama wake kuliko wengine. Usalama wa raia wote na mali zao zote hutazamwa kwa pamoja. Na hakika, Serikali iko makini katika hilo kwakuwa matunda ya kuwepo kwa amani na utulivu tunayafaidi kila kukicha. Naamini,haitakuwa rahisi kwa Serikali 'kumhakikishia' usalama wake Lissu ili arejee nchini. Usalama wa raia wote daima upo na unasimamiwa na Serikali.
Nani anayebaki ambaye ataweza kumhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurejea Tanzania?
Mwenye wajibu wa kumlinda ndiye aliyemmiminia risasi!Nani anayebaki ambaye ataweza kumhakikishia Lissu usalama wake ili aweze kurejea Tanzania?
Katiba ya nchi inasema ulinzi wa Taifa ni wa raia yeyote, lakini ulinzi wa Raia na mali zake ni jeshi la polisi. Jeshi la polisi ni serikali, chaka hakijatajwa kama kinaweza kumhakikishia mtu ulinzi. Alichofanya Lisu kwa mtazamo wangu ni kuwa anamashaka na chama ndiyo maana anasema wamhakikishie ulizi.
Lakini haya ni mawazo yangu kutokana na doubt inayoonekana kwenye clip ya Lisu.
Hua unahangaika sana na Lissu mkuu,sijui tatizo nini?
Chama ndio ambacho kinaweka pale Area D ulinzi na pia ni karibu na nyumba ya naibu speaker ambayo uwa inalindwa na askari polisi ila siku ya tukio hawakuwepoHoja yako itakuwa na nguvu tukimpata dereva wake, ambaye hadi Leo hatujui yupo wapi!
Lisu aongei tena kuhusu dereva,wala chama chake,na wewe hujagusia!
Inawezekana kushambuliwa kwa Lisu ikawa in "mchezo" vijana wanasema move, inawezekana mission ilifeli, that's why hataki kurudi, au dereva wake (kama yupo hai)
Hayo makandokando yakipata majibu, basis issue ya Lisu ni ndogo sana