Wakili Sweetbert Alipanga Kupinga Matokeo Ya Uchaguzi Kabla ya Uchaguzi Kufanyika Ushahidi upo kwenye Mdahalo wa Startv na Odemba

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
11,395
25,494
Wakili Sweetbert Alipopatwa na Kigugumizi kuhusu Kukubali matokeo Inakupa Picha na Redflag kwamba Lazma angepinga matokeo ya Uchaguzi Hata kama utakuwa wa Haki..

Kasoro alizozitaja kisheria zinaitwa "de minimis non curat lex," ni kasoro ndogo ambazo haziwezi kubatilisha Uchaguzi hata kidogo..

Maybe zingekuwa Fundamental error kama fraud, Intimidation,Disenfranchisement au Corruption..

Nkuba akubali kuwa kashindwa maisha yasonge mbele..

VIDEO YA NKUBA AKIAPISHWA KUKUBALI MATOKEO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom