Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

Yaani nikuamini wewe unayeandika "mlopokaji" badala ya "mropokaji"!!??
Kama tu kuandika ndio hivi,utaaminiwa na "kushukuriwa" kwa lipi!!??
CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana.

Mtu pekee aliyekuwa anawasaidia alikuwa Tundu lisu, huyo ana uwezo mkubwa sana mahakamani, tafuteni wengine, hata kina john malya tu ambao wao hawaongei ongei, vitendo wanavifanya, Kibatala tangu asome kadigrii kake "Mzumbe" ka miaka 3 na kubambiabambia analoliweza ni siasa za mahakamani tu.

Kwa wanaomjua vizuri akiwa mahakamani, ana emotions mno anawaka mno hatoi hoja, ni mlopokaji tu tofauti na wanasheria wenye akili. BADILISHENI MWANASHERIA, MTAKUJA KUNISHUKURU.
 
CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana.

Mtu pekee aliyekuwa anawasaidia alikuwa Tundu lisu, huyo ana uwezo mkubwa sana mahakamani, tafuteni wengine, hata kina john malya tu ambao wao hawaongei ongei, vitendo wanavifanya, Kibatala tangu asome kadigrii kake "Mzumbe" ka miaka 3 na kubambiabambia analoliweza ni siasa za mahakamani tu.

Kwa wanaomjua vizuri akiwa mahakamani, ana emotions mno anawaka mno hatoi hoja, ni mlopokaji tu tofauti na wanasheria wenye akili. BADILISHENI MWANASHERIA, MTAKUJA KUNISHUKURU.
Nimeamini shuleni siku hizi wanafundisha ujinga...
 
CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana...
Unaongea kama haukuwepo nchi hii ,kesi kipindi cha Magufuli zilikua zinaamliwa Nyumbani.

Hakimu anapew memo amfunge fulani.

Leo hizo kesi nyingi DPP anazosema hana nia ya kuendlea nazo ndo nyingi zilikua zinaamliwa kisiasa.

Kibatala ni wakili tena mzuri tu
 
Sirro ni mwanasheria pia, anajua anachokisema!
Kwani palamagamba c mwanasheria na tunamuona anavyoidhalilisha taaluma yake kwa njaa ya ubongo na yeye surround ndo hivyo hivyo anatetea tumbo lake kwa sababu hana jinsi lakini ndani ya moyo wake anajuwa ukweli ulivyo.
 
Kama inavyo semekana Mbowe alikuwa anaajiri/recruits askari na wanajeshi waasi kwa lengo la kuhujumu serikali na kuuwa viongozi wa serikali, basi kwakweli Mbowe alifika pabaya sana, siajabu ange ajiri hata wahamiaji haramu kwa lengo baya zaidi.

Matendo haya hayana tofauti na yale wanayo yafanya Bokoharam. Hata hivyo Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vyote vifanye upelelezi wa kina na kwa weledi wa viwango vya juu.
 
Bila shaka wale vijana watatu waliteswa intensively na kukubali kumu implicate Mbowe kama mshirika wao/aliyewatuma/aliyewalipa kufnya hicho wanachoita ugaidi. Definitely waliandika statements zikimhusisha Mbowe kama mhusika mkuu. Huo ndio atakaouleta mahakamani.

1. Vijana watakana (retract) kila kitu maana kilikuwa procured under torture na mahakama inaweza ikakubaliana nao kama hautakuwa corroborated.

2. Vijana wakirubuniwa wakauleta mahakamani, Mbowe ataukataa, sasa HE WHO ALLEGES MUST PROVE, itabidi wathibitishe mbayo ni ngumu kwa kiasi kikubwa.

3. Burden does not shift, Siro itabidi athibitishe beyond reasonable doubt bila kutegemea udhaifu wa defense katika kujitetea
bla bla bla.......
 
Bila shaka wale vijana watatu waliteswa intensively na kukubali kumu implicate Mbowe kama mshirika wao/aliyewatuma/aliyewalipa kufnya hicho wanachoita ugaidi. Definitely waliandika statements zikimhusisha Mbowe kama mhusika mkuu. Huo ndio atakaouleta mahakamani...
IGP alifanya utopolo
 
Hii kesi wananchi na wanasiasa tunapaswa kwenda mahakamani kuomba kibali irushwe LIVE COVERAGE. Ili tushuhudie mwenendo wa kesi utakavyokua.


Tukija swala la kesi yenyewe, IGP Sirro ameishaiharibu kesi kwa;

1) Kuita press conference yake na kuongelea contents ya ushahidi dhidi ya mtuhumiwa.

2) Press yake na alichoongea kinauwezo wa kuyumbisha ushahidi wa baadhi ya mashahidi watakao takiwa kusimama mbele ya mahakama. Ukizingatia ni IGP, ushawishi wa cheo chake kwa askari wa chini waliomkamata na kumfanyia upekuzi mtuhumiwa ni mkubwa sana.

3) Kaenda nje ya mamlaka yake na sheria za nchi, kwasababu kesi ikiwa mahakamani hupaswi kuongelea contents ya kesi hio.

Kwa yote aliofanya na kuongea mbele ya vyombo vya habari, inamuweka mahala ambapo lazima ataitwa mbele ya mahakama kutoa ushahidi wake kuhusu hio kesi. Ataitwa kama shahidi wa "JAMHURI" au ataitwa kama shahidi wa "MAHAKAMA au UPANDE WA UTETEZI (Kwa maombi ya Witness Summons By The Defendant Side -By Order Of The Court)".

NOTE THAT: Atakavyopigwa maswali na upande wa utetezi, kina Wakili Kibatala na wenzake, dunia itamuonea huruma.
 
Back
Top Bottom